Kwa wapenda MIELEKA, leo tutaje WWE FINISHERS na MOVES mbalimbali unazozipenda au ulizozipenda

hili sina majibu japo wengi husema hivyo, Ila inanilazimu kuupenda hivo hivo tu
Bado hujaijua WWE vizuri wewe.
Kuna tofauti kati ya WRESTLING na PRO WRESTLING.
Ktk Pro Wrestling matches are predetermined. Rehearsals zinafanyika b4 matches.
Ungekua unafatilia vizuri ungejua..hasa kwanini WWE wameamua kuanzusha Performance Center.
Tatizo mna gugo sana.
 
spear tamu ilikua ya bob lash hata mkiwa 10 anawazoa wote
ila vicky guererro alipata tabu sana na under taker

chriss jericho alikua ndio mwanangu
Inakuta spear ya Bill GOLDBERG?
Bob Lashley ...dominator ndo ilikua matata
 
Haha long time sana.
Unakumbuka Summerslam ya 2004 Randy Orton v Benoit...dah long time sana asee WWE is now dead
 
Umejitahidi kuelezea lakini umeandika baadhi ya pumba.
Moja usema mshindi anapangwa na referee?
like seriously
Kuna kitu kinaitwa WWE CREATIVE TEAM hao wanadeal na scripts storylines moves etc
 
Kuna move moja inaitwa belly to belly suplex ni shida
Kuna sweet chin music ya rafiki yake tilipo echi
Go to sleep ya bwamdogo CM punk
Masterlock ya chris masters
DDT
F5 ya brook lesnar
Styles clash
Alafu kuna jamaa alikuwa TNA wakuitwa sunjay dutt,alikuwa na style za ajabu hata mysterio hamfikii
 
Ya kane inaitwa chokeslam
 
watu wa fujo ndio walikua wanangu kipindi kile combo ya DX
kisha mr macmen
babu finley
akaja edge na wanae
randy orton akawa kiboko ya mabishoo wote wwe
Yani kipindi icho WWE ilikua WWE kweli..
Pale Orton huku Edge huku Cena huku jbl huku DX huku huko ECW kulikua na CM PUNK na Bob Lashley kibabu lashley na Hoornswaggle na kina chavo guerrero.
Ukija smackdown kuna kina undertaker,
Saivi hamna kitu vile vizazi vishapotea.
Randy na Cena umri unawatupa sasa ingawa they are there to stay
 
Spear ya Goldberg ndo ilikuwa tamu kwa upande wangu.
Ni combination ya power, speed, agility na execution. Mara nyingi akitoa moja basi ukue ni K.O tayari.
 
Cena kipindi kile hata umlete tembo atambeba ilikua lazima mieleka ufuatilie
beef ilikua ya jeff hard na randy orton
edge vs undertaker
matt hard na big dad v
randy orton anachukiwa na kila mtu ila r k o inapendwa na kila mtu
mieleka ilikua zamani bana Triple h hapigiki
pambano la cena na batista haliishi
619 ukipigwa lazima ukubali
 
Umejitahidi kuelezea lakini umeandika baadhi ya pumba.
Moja usema mshindi anapangwa na referee?
like seriously
Kuna kitu kinaitwa WWE CREATIVE TEAM hao wanadeal na scripts storylines moves etc
Hapana sijamaanisha referee anapanga.

Nilichomaanisha ni kuwa script inapangwa na wanaoandaa ( hiyo script team uliyoitaja) na referee anakuwepo pale kuhakikisha kuwa script inafuatwa na muda wa pambano kuisha unafuatwa pia ana mawasiliano na script team kujua nini kinafuata muda gani mtu flani ataingilia kuinterupt mechi n.k.

Ungezea maujanja mkuu na nilipokosea kosoa na rekebisha.
 
Hapo nimekuelewa vizuri Mkuu.
Kweli referee kazi yake kuhakikoshwa script imefuatwa...hasa kuhusu muda wa kumaliza match... kama ni dakika tatu zisizidi si unajua wenzetu kule muda ni mali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…