[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]Talent kubwa sana hii, mpaka sasa nimemuona kwenye drama nne zikiwemo Mr.Queen & Samdarli. Mzuri sana kwenye Comedy na romance.
SHIN HYE SUNView attachment 2886210
Umenishtua. Nikajua wameachanaStory nyuma ya hii couple ya Kim Woo Bin(34) na Shin Min-a (39) inagusa sana, licha ya mmoja wao (Woo Bin) kusumbuliwa na Cancer kwa kipindi kirefu hilo halikuwa tatizo kwao na ilimlazimu Shin Min-a kupunguza project zake ili tu awe karibu na jamaa. Tangu 2015- present (miaka 9), celebrity wa bongo na Africa ni ngumu sana.View attachment 2886230
Ila nilichokuja kugundua ni kwamba, kwenye mahusiano ya Kikorea swala la umri halipo kabisa, mwanamke kumzidi mwanaume miaka 5 -10 ni kawaida sana.
Shin Min-a anamzidi Woo Bin miaka 5.
Na umefanya siriNdo hiko, nimekiotea saa kumi usiku kipo fire mpaka kumi na mbili kikaanza kusuasua nimedownlod 720 na 1080p tu
teh teh tehMimi ndio empress hapa, ngoja M Z A N Z I B A R I aje akuambie.
Mimi ni mmoja kati ya waanzilishi wa mambo ya hizi drama za Kikorea hapa JF.
Bado niponipo sana, nazichakata drama kimyakimya sina makeke hapa kama zamani.teh teh teh
nilidhani muda huu utakuwa umepumzika kwenye lile kasri huku ukiringia heshima yako ya Queen Mother au Dowager.
kumbe bado ni EMPRESS.
Jumatatu yako ianze na nguvu ya upambanaji inayopingana na ukataji tamaa
LEGEND
👏👏👊
============
kwa hisani ya bibi yake KONCHO
View: https://www.youtube.com/watch?v=jXnsn7NxBIY
kwa tafsiri isiyo rasmi ya kiswahili
tafadhali usisimame mbele ya kaburi langu huku ukibubujikwa na machozi,
mimi wala sijalala ndani ya kaburi hilo,
nafsi yangu imekuwa muangaza wa jua unaoivisha na kustawisha mbegu (nafaka)
nimekuwa majira ya baridi (kipupwe) yenye kuambatana na mvua.
nimekuwa upepo unaovuma zaidi ya mara elfu moja kwa siku,
nafsi yangu imekuwa dhahabu ing'arayo kwenye theluji.
wimbo unaitwa A thousand winds
[emoji2][emoji2] nitakupatia tuNi drama au variety? Kabla sijajichanganya
Huyu bibi namkubali sana.teh teh teh
nilidhani muda huu utakuwa umepumzika kwenye lile kasri huku ukiringia heshima yako ya Queen Mother au Dowager.
kumbe bado ni EMPRESS.
Jumatatu yako ianze na nguvu ya upambanaji inayopingana na ukataji tamaa
LEGEND
👏👏👊
============
kwa hisani ya bibi yake KONCHO
View: https://www.youtube.com/watch?v=jXnsn7NxBIY
kwa tafsiri isiyo rasmi ya kiswahili
tafadhali usisimame mbele ya kaburi langu huku ukibubujikwa na machozi,
mimi wala sijalala ndani ya kaburi hilo,
nafsi yangu imekuwa muangaza wa jua unaoivisha na kustawisha mbegu (nafaka)
nimekuwa majira ya baridi (kipupwe) yenye kuambatana na mvua.
nimekuwa upepo unaovuma zaidi ya mara elfu moja kwa siku,
nafsi yangu imekuwa dhahabu ing'arayo kwenye theluji.
wimbo unaitwa A thousand winds
Habari zenu wakuu,,sorry naombeni majina ya movies za drama kama empress ki na dong yi zenye stori muria
🤣🤣🤣 Mimi huko kwenye variety hamtokaa mnipate. Nimefunga ndoa na drama[emoji2][emoji2] nitakupatia tu
Hiyo drama ya Esom 18+
Hiyo maids inaonekana nzuri nitaitafuta. Red Sleeve niliangalia kidogo nikashindwa kuendelea...nadhani nina tatizo na Lee jun ho hakuna drama yake niliyowahi kumalizaThe Flower in Prison
Queen Seondeok
Maids
Love in the Moonlight
The Red Sleeve
The King’s Affection
The Queen’s Umbrella
Mr Queen
Red Sleeve ilinishinda pia.Hiyo maids inaonekana nzuri nitaitafuta. Red Sleeve niliangalia kidogo nikashindwa kuendelea...nadhani nina tatizo na Lee jun ho hakuna drama yake niliyowahi kumaliza
Goryeo khitan war drama:
Remember the name, Gang Gam Chan.
nakumbuka miaka nane iliopita humu ndani ulikuja mjadala,
yupi muigizaji mkuu bora wa kiume kwa upande wa historical drama kati ya choi soo jong na song il kook.
ndani kulikuwa na memba anazijua hadithi za three kingdoms utadhani yeye ndiye muandishi wa samguk sagi na samguk yusa
siku zinatembea kwa kasi ya mwanga, sijui nime-achieve lipi kubwa zaidi la kujivunia na kujitapa kama bwana yule aliyejenga nyumba ya ghorofa yenye swimming pool juu kama malaika wa mvua.
kheri ya mwaka mpya.
wengine bado tuna maruweruwe na huu mwaka
View attachment 2882401Dah! Anazeeka huyu mwamba
Nina laini ya Halotel / hizi bando naweza kuzipata?wiki mbili nyuma kuna kijana fulani tunafahamiana tokea chuo alipita sehemu ninayotumwa na wenye mamlaka, akaniuzia laini fulani ya HALOTEL kwa ajili ya internet tu.
kwa maana huwezi kupiga simu, kuunga halo pesa wala kutuma message.
vifurushi vyao vya internet vipo vizuri kwa namna fulani.
elfu 5 wakupa GB 4 kwa wiki.
nafikiria kusitisha huduma ya postpaid kwa muda ili niwatumikie vizuri halotel.
kwetu halotel unaweza kustremika mchana bila ya khofu ukilinganisha na mtandao wa tigo.
View attachment 2882600
Ulikuwa wapi Nifah:Mimi ndio empress hapa, ngoja M Z A N Z I B A R I aje akuambie.
Mimi ni mmoja kati ya waanzilishi wa mambo ya hizi drama za Kikorea hapa JF.
Nipo sema siku hizi naangalia drama kimyakimya sitaki kuspoil watu.Ulikuwa wapi Nifah:
Nakumbuka wakati nakuja humu Wewe na Daemusin ndio mlinipokea humu around 2018. Was my name The Great Conqueror
Karibu sana malkia wetu.Nipo sema siku hizi naangalia drama kimyakimya sitaki kuspoil watu.
Nakumbuka sana wakati tunakupokea, kipindi kile tulikuwa machizi madrama ya kikorea tunaangalia 24/7!
Dah
Bado ipo, na naweka drama kila nikipata nafasi.Karibu sana malkia wetu.
Tulikuwa na channel yetu telegram