Mkuu inamaana ata episode za mbele ni hivyo hivyo ama za mbele ni afadhali? Drama iko poa sana hasa ukizingatia hizi za historical Drama ndio mm navutiwa nazo kiukweli kwahiyo kwa maoni yangu iko poa tu. Kuhusu kuangalia kisha niishie katikati kwakwel siwezi nashusha zote episodes 200.ni kweli video quality haipo vizuri na inachangiwa zaidi na uzamani wa drama kama tunavyofahamu teknolojia ya zamani na tofauti na ya leo na ya kesho.
ila drama umeionaje?
ila nakushauri iangalie mpaka itakapokutosha then ipotezee kwa muda
Aya karibuNikinunua laptop nta subscribe Uzi huu
Kama unavyo lipwa we.Awa Watu Wanalipwa Vizuri Tuuh.
Mijengo Yote Iyo.
ni kweli wanalipwa vizuri ila baadhi ya wakati huwa hawalipwi pesa zao hususan na production company huwafanyia tabu.Awa Watu Wanalipwa Vizuri Tuuh.
Mijengo Yote Iyo.
quality ianbadilika kidogo baadhi ya episode, hahahaaaaa episode 200 ni nyingi sana kuziangalia mfululizo.Mkuu inamaana ata episode za mbele ni hivyo hivyo ama za mbele ni afadhali? Drama iko poa sana hasa ukizingatia hizi za historical Drama ndio mm navutiwa nazo kiukweli kwahiyo kwa maoni yangu iko poa tu. Kuhusu kuangalia kisha niishie katikati kwakwel siwezi nashusha zote episodes 200.
Na Nani!????Kama unavyo lipwa we.
Oooooh kumbe, Aigooooo ujue sinaga mtindo wa kukatisha drama kama nikianza kuiangalia huwa najitahidi kuangalia mpaka inaisha. Kwa hii nitapanga kila siku nitizame episodes 5 angalau In Sha Allah.quality ianbadilika kidogo baadhi ya episode, hahahaaaaa episode 200 ni nyingi sana kuziangalia mfululizo.
Sikwambii hapaNa Nani!????
ni wazo zuri sana ila nina wasi wasi huko mbele utaangalia hata episode 10 kwa siku.Oooooh kumbe, Aigooooo ujue sinaga mtindo wa kukatisha drama kama nikianza kuiangalia huwa najitahidi kuangalia mpaka inaisha. Kwa hii nitapanga kila siku nitizame episodes 5 angalau In Sha Allah.
Hmmmm!!!!!ni wazo zuri sana ila nina wasi wasi huko mbele utaangalia hata episode 10 kwa siku.
Yepyeeeeeeee!Sikwambii hapa
Omo Omo Omo.We Siyo Kwamba Umewarisisha.Hahhahaaha!! Sio kila drama huwa nafanyaga hivyo.
Hihihihiiii! aminas njoo huku uone jinsi ninavyorithisha wakuu tabia za ki-Tasteless.
Hahahahhahah. Mimi bado mwanafunzi tu wa hii lugha, ingelipendeza ma expert kama ninyi mtufundishe zaidi.nimependa signature yako mkuu.
wang guhn.
itapendeza zaidi ukifungua thread ukatufundisha hii lugha ya wajoseon
Hwayugi na Money Flower niko nayo bega kwa bega. (Hwayugi: ep 6 & Money Flower:ep 18)Omo Omo Omo.We Siyo Kwamba Umewarisisha.
Akikoo We!!!! (Utani).
Hwayugi Uko Ya Ngapi!???
Money flower je????
Una Drama Gani Mpya!???
fikra zako kuhusu mimi nadhani ziko mbali sana muheshimiwa wang guhn,changamoto za maisha zinanifanya nishindwe kutumia hata saa moja kwa ajili ya kujifunza hangul.nilianza vizuri sana ila baadae niliishia njiani.Hahahahhahah. Mimi bado mwanafunzi tu wa hii lugha, ingelipendeza ma expert kama ninyi mtufundishe zaidi.
Hahahaha, kusoma hangul character ni rahisi sana, yaani ukidhamilia kujifunza ndani ya siku moja au mbili utakuwa fundi wa kuzisoma, shida itakuja kwenye grama (sarufi) zao tuMi Aya Ya Kukorogo Siyaelewagi