Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kweli nimeona kwenye uzi wa vifurushi jukwaa la technology jamaa anaeleza net ya bure kwa laini ya tigo ni kuperuzi tu,haidownload niliitumia ila kwangu haikua na kasi na masharti yake meeengi.
Inabidi nitafute mseleleko mwingine, network ya ttcl haifai sasa hivi
Nadhan tatizo ni file sio net ya ttcl. Maana bila file ttcl wabovu sana tu ila kwa file unashangaa ilivyo na kasi. Nenda telegram search grup la ha tunnel plus tz utapata files
 
Wamenikomesha kwenye homemade love story (ep50) kila wakiongelea ofa za misosi wanaleteana hio mikate na juisi halafu kula yenyewe ya kuringa(kuleteana njaa tu😂😂😂)

Rokie cop ni kuku daah sahani linajaa na pombe glass kuubwaaa
Numbisa bwana😃, hayo mambo huku kwetu yatafika wakati ambao hatuwezi kuyafurahia tena (kama tutakuwepo).
 
Kweli nimeona kwenye uzi wa vifurushi jukwaa la technology jamaa anaeleza net ya bure kwa laini ya tigo ni kuperuzi tu,haidownload niliitumia ila kwangu haikua na kasi na masharti yake meeengi.

Nadhan tatizo ni file sio net ya ttcl. Maana bila file ttcl wabovu sana tu ila kwa file unashangaa ilivyo na kasi. Nenda telegram search grup la ha tunnel plus tz utapata files
Ngoja nijaribu huko telegram
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Na huku bongo kungekua na mgahawa wa subway,hawa watu kila drama wamo nikiangalia biashara yao ni mikate na juisi tu ila wana mbwembwe kibao.
Nna list ya vyakula vya Korea navitamani mno aisee..kimchi gimbap na zile side dishes..soju[emoji23][emoji23]

Hivi tz soju ndo inaweza kuwa K vant ama?
 
Hali sio hali..mimi inanigomea kuanzia sa kumi na mbili inaanza kukubali saa moja na robo hivi siku nyingine sa mbili kasoro[emoji28] japo ikikubali speed ipo pale pale
Ukitaka iconnect bila shida hakikisha unaweka hata shilling 5 au 10 kwenye TTcl kama salio la kawaida, uzuri TTcl wanaruhusu hata kununua salio la shilling 5 kwa Tpesa, kwahiyo nunua salio alafu connect hutapata usumbuf wowot
 
[emoji23][emoji23][emoji23] Unaagiza kuku mzima unaletewa kuku mapaja hayalingani moja kubwa lingine dogo

Korea swala la huduma wapo vizuri mno..ambulance ni dk 0 ipo mlangoni
Ila ni movies jamanj mkumbuke. Hakuna mtu anaweza ku potray nchi yake kama iko poor kwenye jambo lolote hasa nchi zilizoendelea.

In reality unaweza kukuta mambo hayapo hivyo japo kweli wametuzidi ila uzinguaji upo tofauti na mambo yanayoonyeshwa kwenye sinema.
 
Itakua au konyagi kabisa maana wakinywa soju wanakunja sura ila bia wala hawatikisiki kama kwenye soju

Mie zile tambi zao sijui ramiyeon,jajanjanjaaamieon😂😂😂😂,wanaweka hadi mayai ila sitamani ule mchanganyiko wa wali wanaochanganya vikorombwezo viiingi kwenye bakuli moja
Nna list ya vyakula vya Korea navitamani mno aisee..kimchi gimbap na zile side dishes..soju[emoji23][emoji23]

Hivi tz soju ndo inaweza kuwa K vant ama?
 
Itakua au konyagi kabisa maana wakinywa soju wanakunja sura ila bia wala hawatikisiki kama kwenye soju

Mie zile tambi zao sijui ramiyeon,jajanjanjaaamieon😂😂😂😂,wanaweka hadi mayai ila sitamani ule mchanganyiko wa wali wanaochanganya vikorombwezo viiingi kwenye bakuli moja
Acha na vyote hivyo, embu jikite kwenye KIMCHI kwanza😄.
 
Ni kweli ila wana majengo mazuri na madaraja ya kutosha. Kwa maendeleo ya vitu wametuzidi sana
Ila ni movies jamanj mkumbuke. Hakuna mtu anaweza ku potray nchi yake kama iko poor kwenye jambo lolote hasa nchi zilizoendelea.

In reality unaweza kukuta mambo hayapo hivyo japo kweli wametuzidi ila uzinguaji upo tofauti na mambo yanayoonyeshwa kwenye sinema.
 
Historical dramas ambazo main character ni mwanamke hazijawahi kuwa mbovu
photogrid.collagemaker.photocollage.squarefit_2022317122356959.jpg
 
Back
Top Bottom