Ni kweli kabisa, ana kipaji sana yule dada. Na yule babe wake wa kwenye Mr Queen...ana namna fulani hivi ya kuigiza inayovutiaNaona drama zake nyingi kaigiza vizuri mno
Endless love ina story nzuri sana, mara ya mwisho kuicheki ilikuwa ni 2017 mwishoni au 2018.Nipo zangu na Endless Love hapa ntatumia wiki nzima kumaliza zote 37
Ha!ha! Yumi wameweza kutuchekesha[emoji1787][emoji1787][emoji1787] yaani hiyo pegupa naisikia sauti ya hunger cell anavyosumbua kijijini akiwa anataka kula
Detective anasema ''chankaaa".Umeona eeeh?? Nafurahi kupata mshirika...bila kumsahau detective cell, naughty cell, writer cell, cheapskate (stingy) fashion cell, guard etc
Lee bang won :king of tears ndio best drama yangu kwa mwaka huu.
I
Ya angel danUkiacha ile alioigiza kama mlemavu yuko kwenye wheel chair zingine ni zipi alizocheza?
Asante sanaaaa🥰😍Kila siku Numbisa anaelekeza. Nenda Google andika jina la drama unayotaka malizia kimoi tv
View attachment 2323133
Mkuu naomba maelezo kidogoungaga ttcl ile ya asubuh
Google ipo kwaajili yako. Hiyo aliyoigiza mlemavu inaitwaje?
View attachment 2322107
Big mouth na Adamas ni Kali mno kinachouzi ni kuwa ongoing dramaBig mouth wapenda thriller em muichek japo ni ongoing
Uwiii yani nimeianza sijaiweka chini
Nimevuta carter na alchemy kuzifatilia Adamas na big mouth
Naona nimeanza kupamba moto
Watu wengi bado hawajamove on kutoka kwa Woong.... What's so great about him[emoji57][emoji57][emoji57] This is Babi's error [emoji3577][emoji3577][emoji3577] Na mimi ndio president wa Babi's club[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimevunjika moyo kabisa ep ya 12 ya yumi kuomba waoane nlijua baby wuung atapata nafasi dah
Napata wapi nguvu ya kuendelea mbele[emoji24]
Naisubiria Big mouth iishefamily dramas
Wonderful days ep 50
Family honor ep 50
Assorted gems ep 50
Nimevuta zote ila nimeangalia wonderful days pekee ina ka uzuri na comedy za hapa na pale. Watoto wamepewa nafasi kubwa ya kuonyesha vipaji vyao.
Bora Babi alichangamkapo kuliko wungi😂😂😂😂alipotoswa kwa mara nyingine nilifurahiNaisubiria Big mouth iishe
Watu wengi bado hawajamove on kutoka kwa Woong.... What's so great about him[emoji57][emoji57][emoji57] This is Babi's error [emoji3577][emoji3577][emoji3577] Na mimi ndio president wa Babi's club[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti cha umbea lol. Nkiri warudi tu jamani nimechoka kupakua mb 165 wakati mwanyewe nilikuwa nimezoea mb 95, 100, 115 zikizidi sana 120.Jina tamu kwa kiswahili si ni cha umbea ama?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mie nasubiria nkiri ije nilikua navuta kila inayotokea pale juu hasa nikiwa sina cha kudownload
Bora Babi alichangamkapo kuliko wungi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]alipotoswa kwa mara nyingine nilifurahi