Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwani kimoitv na Nkiri zinatofauti gani mbona kama mimi naona ziko sawa tu.
Kimoi tv ina mb za kawaida ila kidogo ina mwanga sio mkali ukiachana na drama mpya ila Nkiri inq quality zaidi ya Kimoi Tv halafu ina mwanga mzuri then mb zake ni chache zaidi ya kimoi tv mfano Why Her unaipata kwa mb 80-100 wakati Kimoi Tv 140-150
 
Kimoi tv ina mb za kawaida ila kidogo ina mwanga sio mkali ukiachana na drama mpya ila Nkiri inq quality zaidi ya Kimoi Tv halafu ina mwanga mzuri then mb zake ni chache zaidi ya kimoi tv mfano Why Her unaipata kwa mb 80-100 wakati Kimoi Tv 140-150
Ila leo nimepigwa kwenye nkiri. Naambiwa mb zipo around 130 naanza kupakua nakutana na 165
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]umenichekesha,siku hizi siangalii mb kimoi au nkiri nadownload tu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mimi naangalia wee, uvumilivu wa kusubiria mb 170 sina...utasema sio mimi nilikuwa napakua mb 300
 
Kimoi tv ina mb za kawaida ila kidogo ina mwanga sio mkali ukiachana na drama mpya ila Nkiri inq quality zaidi ya Kimoi Tv halafu ina mwanga mzuri then mb zake ni chache zaidi ya kimoi tv mfano Why Her unaipata kwa mb 80-100 wakati Kimoi Tv 140-150
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
Ubaya ni kuwa quality ikiwa chini na drama inaonekana mbaya, wiki iliyopita nilipakuwa Chief Kim episode tatu kutoka kimoi sikufika hata nusu ya episode ya kwanza nikaifuta, kwanza nilikuwa hata siielewi. drama hiyohiyo nimeipakua nkiri quality nzuri imekuwa tofuti kabisa
 
Hii list bila Chuno ni batili🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…