Blind jeMwaka huu hawajaproduce serial killers drama tofauti na Decoy/Bait..
Tell me what you saw itabaki kuwa drama bora sana upande wa serial killers/psychopath
Mouse ilijawa na twist nyingi sana
Angalia hizinitajie zozote maan sehem nilipokun free wifi
Mwamba huna baya sema bidada ana undugu na wakorea ndio maana unaandamwaKwahiyo comrade Khantwe unahisi kuandika kwangu hapa, nia yangu ni kutaka kukuzima, uliwaka lini hapa jF kiasi cha kuhisi ninaweza kujipa kazi ya kukuzima, na kwa faida gani?
Washindwe kukuzima wa huko uraiani wanapokuona, nije kujihangaisha mimi hapa kwenye anonymity? Aaaah hii haiwezi kuleta mantiki.
We endelea na kazi yako ya kuwatetea kama walivyokutuma katika hili, wala mimi sina neno na wewe.
Undugu unatokea wapi!Mwamba huna baya sema bidada ana undugu na wakorea ndio maana unaandamwa
Jamaa kazungumzia drama kiujumla hajawa specific ni drama zipi ni mbovu so sioni hapo kosa lakeUndugu unatokea wapi!
Hiyo ni situation katika unachokipenda kama walivyo fans wa CR7 na Messi.
Acheni kubagua drama na kuziponda live wakati kwa wengjne ni nzuri uone kama atalalamika
Mwamba huna baya sema bidada ana undugu na wakorea ndio maana unaandamwa
Kwema kabisa mkuuNiliamua kumpuuza ili tusi-dwell kwenye marumbano ambayo hayana tija yoyote.
Kwema lakini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti kumpuuza...na migazeti yote uliyosha? Unajua maana ya kupuuza kweli wewe?Niliamua kumpuuza ili tusi-dwell kwenye marumbano ambayo hayana tija yoyote.
Kwema lakini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] eti kumpuuza...na migazeti yote uliyosha? Unajua maana ya kupuuza kweli wewe?
Hata hapa hujapuuza...kifupi ni kwamba huwezi kupuuza[emoji706]
Jamaa kazungumzia drama kiujumla hajawa specific ni drama zipi ni mbovu so sioni hapo kosa lake
Hata hapa hujapuuza...kifupi ni kwamba huwezi kupuuza
Hehehe [emoji1787][emoji1787][emoji1787] sawa mpuuziaji niwe msemaji wako nakujua?Sijaomba maoni kuhusu uwezo wangu wa kupuuza, au tayari kama ilivyo fani yako, umeshajitolea kuwa msemaji wangu?
Hehehe [emoji1787][emoji1787][emoji1787] sawa mpuuziaji niwe msemaji wako nakujua?
Bwana wee utajua mwenyeweNdiomaana sikuomba maoni yako kwasababu SIKUJUI, na hakuna namna yoyote ninaweza kuyahitaji.
Ni ya mwaka[22] jnilishaipakua ila sikuitazana mana nilipitia reviews wanadai sio nzuri sana...Blind je
Huyu ndio mwanaume [emoji16]Uchaguzi wa drama kuiangalia ama kutoiangalia ni pendeleo la mtu/taste ya mtu husika kuna wengine wanaangalia drama sababu tu ya muhusika mmoja,Wengine huvutiwa na story(haijalishi ni visasi,lovestory n.k), wengine wanapenda comedy,wengine action,wengine Sci- Fi....
Hapo ndio linapokuwa swala la upondaji wa tabaka moja dhidi ya lingine ambapo mara nyingi ni subjective opinions kuliko pure facts,binafsi naangalia drama yyt ile isipokuwa tofauti na zile ambazo hazikubaliani na principles zangu....
Hivyobasi kila mmoja awe huru na kile anachoangalia pasipo kuleta maoni yasio na tija na kuleta migogoro isio na msingi....
Current watchin
Ongoing dramas
Uncontrollably fond