Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

vile ninavyolisubiria pambano la wazee wa taste siku za mbeleni
FtF8k8nX0AM8jz8
[emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna series moja aliuliza mdau, nami natamani kuifahamu au kupata jina lake.

Inaanza kwa kuonesha jamaa mmoja anapitia changamoto kweny kulea wadogo zake baada ya baba (wazazi wake) kufia kweny Mines za makaa ya mawe.

Baadae alikuja kukua na kutafta namna ya kupata haki au fidia ya mzee wake. (NI DRAMA MOJA INA MAJONZI SANA) nakumbuka enzi hizo ililiza wengi.
Kama unaikumbuka naomba jina lake.

Sina hakika sana na mtiriko wa matukio nlioelezea hapo juu bt kama umeilewa msaada tafadhal.

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
Hii inaweza kuwa kati ya hizi GIANT au EAST EDEN, jaribu kusoma synopsis ya hizi drama huenda ikawepo.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Happy Easter. Karibuni ndugu zangu wakazi wa Seoul ya Bongo. Tujumuike kuufinya ubwabwa.

Pasaka ya mwaka huu tamu sana maana Dae mzenji atakosa sababu ya kuninyima mwaliko wa IDD
Kwanza badilisha font, wengine macho yetu yamezowea maandishi madogo.

Daemushin ameshakufa ndani ya JF.

Akushindae kwa tonge mshinde kwa kutowea, leo ni mwezi 18 ramadhan kama hujui, bila ya shaka wajua kifuatacho after ramadhan.

Usimcheke mamba kabla ya kuvuka mtoo.

Sikukuu yajaa!!!!
 
FseDcXlXoAUpgbS.jpg

Kwanza badilisha font, wengine macho yetu yamezowea maandishi madogo.

Daemushin ameshakufa ndani ya JF.

Akushindae kwa tonge mshinde kwa kutowea, leo ni mwezi 18 ramadhan kama hujui, bila ya shaka wajua kifuatacho after ramadhan.

Usimcheke mamba kabla ya kuvuka mtoo.

Sikukuu yajaa!!!!
 
Back
Top Bottom