Kuna series moja aliuliza mdau, nami natamani kuifahamu au kupata jina lake.
Inaanza kwa kuonesha jamaa mmoja anapitia changamoto kweny kulea wadogo zake baada ya baba (wazazi wake) kufia kweny Mines za makaa ya mawe.
Baadae alikuja kukua na kutafta namna ya kupata haki au fidia ya mzee wake. (NI DRAMA MOJA INA MAJONZI SANA) nakumbuka enzi hizo ililiza wengi.
Kama unaikumbuka naomba jina lake.
Sina hakika sana na mtiriko wa matukio nlioelezea hapo juu bt kama umeilewa msaada tafadhal.
Sent from my SM-A135F using
JamiiForums mobile app