2013 al hadidy alikua na miaka 16 jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ahjumma nimechoookaaaa
Dunia ingepigishwa kwata kama Japan na wenzake Mussolini na Hitler wangeshinda ile vita maana walikua vichaa wapenda ubabe.Japan angeshinda vita ya pili dunia ingekua kakamavu sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mimi pia nimejikuta nacheka sana2013 al hadidy alikua na miaka 16 jamani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ahjumma nimechoookaaaa
Mimi nimesoma ikabid ni sign out kwanza
[emoji1787][emoji1787]
16 jaman
Kiduchu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mimi pia nimejikuta nacheka sana
I know humu kuna watu wakubwa kwangu mbali that's why na mimi huwa nabehave kama waoMimi nimesoma ikabid ni sign out kwanza
[emoji1787][emoji1787]
16 jaman
Kiduchu
Msicheke sana na mimi nichukulieni kama Ahjussi na sio dongsaeng[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mimi pia nimejikuta nacheka sana
Wewe hata sio dongsaeng bwana...ni mwanetu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Msicheke sana na mimi nichukulieni kama Ahjussi na sio dongsaeng
Alafu hii sijawaelewa nkiri mana wametoa ile episode ya 16 alafu wameandika end wakati ukiangalia inaonekana kabisa ile sio episode ya mwisho,Soon atakuja tuπππ
Nilijaribu kuangalia episode moja kutest kama nzuri nikajikuta mzima mzima naangalia zote na kusubiria zinazofatia,uzuri ijumaa tunamaliza ila nimenasa kwenye ongoing drama the secret romance guesthouse nzuri hii
Mbona restraurant za kikorea zipo mkuu?We mwanamke unapenda sana mapishi, ukaona comedy haitoshi lazima ukumbushie na mapishi sio?π
Hapa Tz kungekuwa na restaurants za Kikorea tungekutuma uende utuonjee mapishi yao kisha utuletee mrejesho.
Me huwa navutiwa na zile snacks zao maarufu (jina limenitoka).
Alafu hii sijawaelewa nkiri mana wametoa ile episode ya 16 alafu wameandika end wakati ukiangalia inaonekana kabisa ile sio episode ya mwisho,
Kumbe walitoa?Hata mie nilikuta hivyo ila baada ya al hadidy kusema haijaisha nilipoenda kuhakikisha nikakukuta wametoa neno complete
Ni romantic kweli???? Maana wakorea wanajuaga kutudanganya na majina yao. Unaona drama inaitwa Happiness unasema upakue na wewe uondoe sononeko salaleee...unachoenda kukutana nacho sasaHata mie nilikuta hivyo ila baada ya al hadidy kusema haijaisha nilipoenda kuhakikisha nikakukuta wametoa neno complete
Ni romantic kweli???? Maana wakorea wanajuaga kutudanganya na majina yao. Unaona drama inaitwa Happiness unasema upakue na wewe uondoe sononeko salaleee...unachoenda kukutana nacho sasa
[emoji16][emoji16][emoji16] fumbo lipi tena jamani huenda hata mimi sikuling'amua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Happiness.Yeah hii ipo vizuri kila episode inakutamanisha kuona inayofuatia ina fumbo moja hivi liliwasumbua asilimia kubwa ya watazamaji. Hivyo mwandishi katumia ujanja fulani wa kupendeza.
[emoji16][emoji16][emoji16] fumbo lipi tena jamani huenda hata mimi sikuling'amua
Niliangalia siku nyingiumeshaangalia mpaka episode ya ngapi?
Niliangalia siku nyingi
Ahaa okey...muda wote najua tunaongelea happiness [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii ni mpya. Fumbo ni kumtambua deposed prince and his watchmanView attachment 2617826
Ahaa okey...muda wote najua tunaongelea happiness [emoji1787][emoji1787][emoji1787]