Nipe link nikacheki ,mimi nimerudia kama mara 3 kila mara naona kama mpya.Aisee jana jioni sinikaingia youtube ile naingia tu nikakutana na jumong wanairudia mwanzo mwisho scene muhimu live kwenye channel ya MBC so jana nimeangalia mpaka cm ikaisha chaji leo asubuhi nimeamkanayo tena...hii drama huwa haiishi utamu
Yanii humu mambo wanayoyafanya esp in thr hosp unaweza kusema they are real doctors 🙌🙌🙌 i enjoy this drama from season oneNipo na Dr Romantic 3 kama kawaida tumeanza nayo vyema View attachment 2603545
Huwa najiuliza wenzetu wana hospitali maalum kwaajili ya movie au namna gani...maana unaona kila kitu from mapokezi, maabara, Surgery room n.k na kama ni hospitali za kawaida mazingira hayo yanatengenezwa vipi ili shughuli za kila siku hapo zisiathiriweYanii humu mambo wanayoyafanya esp in thr hosp unaweza kusema they are real doctors [emoji119][emoji119][emoji119] i enjoy this drama from season one
Hivi hii huwa ni kwa wenzetu tu? Kwasababu, hebu jaribu kuileta kibongobongo kisha ucheke mwenyewe.Hizi moment za kugusana bahati mbaya zipo romantic zaidi ya neno lenyewe[emoji16]View attachment 2592992
Kwa upande wa historical dramas nilijaribu kufuatulia sehemu wanazoigizia nikakuta, kumbe MBC na SBD wanamiliki maeneo ya kutosha (Km squares za maana), zenye majengo ya kizamani kwaajili ya kuigizia pamoja na misitu na mapori.Huwa najiuliza wenzetu wana hospitali maalum kwaajili ya movie au namna gani...maana unaona kila kitu from mapokezi, maabara, Surgery room n.k na kama ni hospitali za kawaida mazingira hayo yanatengenezwa vipi ili shughuli za kila siku hapo zisiathiriwe
Ndio maana nakuwa nataja nini napenda na nini sipendi hii inanisaidia Sana nisiingie Cha kikeUkiomba recommendation unaweza kupata kitu kizuri au ukaingia chaka. Mambo ya taste ni magumu
Drama bora ya muda woteYanii humu mambo wanayoyafanya esp in thr hosp unaweza kusema they are real doctors [emoji119][emoji119][emoji119] i enjoy this drama from season one
Siku jaribu[emoji23]Hivi hii huwa ni kwa wenzetu tu? Kwasababu, hebu jaribu kuileta kibongobongo kisha ucheke mwenyewe.
Mimi nimejiuliza mnoo mfano ile episode one helicopter ina charter kabisa ya serikali aloooo🙌🙌🙌 yani unaangalia kitu unasema hii ni kweli au…wenzetu wako so advanced mnoooo acha tuwashabikie tuHuwa najiuliza wenzetu wana hospitali maalum kwaajili ya movie au namna gani...maana unaona kila kitu from mapokezi, maabara, Surgery room n.k na kama ni hospitali za kawaida mazingira hayo yanatengenezwa vipi ili shughuli za kila siku hapo zisiathiriwe
Indeed yani ina taste yake ya tofauti…mimi sipendi kuangalia on going drama ila dr romantic season 3 nimeshindwa kujizuia hadi iishe🤣🤣Drama bora ya muda wote
Kwakweli maana wanaongea utasema real doctors na hawababaiki mfano kwenye operation weee utakia boive sunction cut aloo🔥🔥sijui wetu hapa watafika lini🤭Kwa upande wa historical dramas nilijaribu kufuatulia sehemu wanazoigizia nikakuta, kumbe MBC na SBD wanamiliki maeneo ya kutosha (Km squares za maana), zenye majengo ya kizamani kwaajili ya kuigizia pamoja na misitu na mapori.
Mwanzo nilidhani zile nyumba huwa zinajengwa na kubomolewa, wenzetu wamewekeza vizuri kwenye sanaa na kuichukulia kama kazi seriously. Hata ukiangalia budgets zao ni billions of money.
Sijui kuhusu location ya hizi drama za mijini (kama hiyo doctor romantic) ila nadhani pesa huwa inamwaga haswa, pamoja na kuwapiga wahisika course maalumu juu ya namna ya ku-act kama watu wa afya, ikiwa ni sambamba na kuwa kuwaelekeza misamiati ya kitababu.
Hata mimi hiyo empress ki ipo kwenye top 3 yangu boraKwa upande wa historical list yao ni hii ,hapo vilevile sina hata moja niliyowahi kutazama kwa ujumla sijafikisha hata 25 idadi ya Korean drama nilizowahi kuangalia na kumaliza zote wakongwe wakina Daemushin(Mzanzibar ) na wengine heshima yao.View attachment 2620836
View attachment 2620839
Hiyo makala umeipata wapi?
Wametumia vigezo gani kuzi-rank popularity au ratings?Kwa upande wa historical list yao ni hii ,hapo vilevile sina hata moja niliyowahi kutazama kwa ujumla sijafikisha hata 25 idadi ya Korean drama nilizowahi kuangalia na kumaliza zote wakongwe wakina Daemushin(Mzanzibar ) na wengine heshima yao.View attachment 2620836
View attachment 2620839