adriz
JF-Expert Member
- Sep 2, 2017
- 12,207
- 26,521
ChatGPTHiyo makala umeipata wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ChatGPTHiyo makala umeipata wapi?
Nitaweka kwenye list yangu maana humu ndio natoa madini nianze na kigongo kipi ninapomaliza kimoja, sasa nipo na Six flying dragon Pamoja na Dae jo young kwa Pamoja.Hata mimi hiyo empress ki ipo kwenye top 3 yangu bora
Nadhani wamebase kwenye mauzo na streaming sio ubora kama ubora haiwezekani vigongo vinavyotambulika vikosekane ..Wametumia vigezo gani kuzi-rank popularity au ratings?
I'm in...
inshaallah
------------
BLOODHOUNDS
Two young boxers band together with a benevolent moneylender to take down a ruthless loan shark who preys on the financially desperate.
Wapo vizuri Sana kitendo Cha kiuiona the empress ki kwenye list yao imenifanya nipakue na zingine walizozitajaChatGPT
Nyingi za kawaida, isipokuwa hiyo Dae Jang Geum( Jewel in the Palace), Six flying dragon kidogo na hiyo Empress Ki.Kwa upande wa historical list yao ni hii ,hapo vilevile sina hata moja niliyowahi kutazama kwa ujumla sijafikisha hata 25 idadi ya Korean drama nilizowahi kuangalia na kumaliza zote wakongwe wakina Daemushin(Mzanzibar ) na wengine heshima yao.View attachment 2620836
View attachment 2620839
Una maanisha Nini🤔🤔Vijana wa JKT[emoji23]
Nipe feedback juu ya hiyo Joseon Attorney.Niko na the SECRET ROMANTIC GUEST HOUSE na THE JESEON ATTORNEY
Hiyo inahusu sheria kuna mwanasheria flani alisomea talanta hiyo ili alipe kisasi kwa waliosababisha wazazi wake wafariki.Nipe feedback juu ya hiyo Joseon Attorney.
Episode ya 14 ya Joseon Attorney imenifanya nilie aisee hadi nikajishangaa nini kimenikumba maana ni kitambo tangu drama inifanye niangushe choziNiko na the SECRET ROMANTIC GUEST HOUSE na THE JESEON ATTORNEY
season 1 nilibahatika kuiangalia,Missing the other sides season 2 nimeipenda. Napenda drama zinazohusu mizimu(ghosts)hasa wasiotisha. Humu inaelezea watu walifariki kwa kuuliwa ama ajali kisha miili yao ikazikwa kwa kificho hivyo wanajikuta kwenye kijiji wasichokifahamu. Mwili ukigundulika anapotea kule kijijini.
Nianze safari ya kuivuta season 1 nayo nione yaliyomo
Story ni nzuri inafaa kwa matumizi nitaitafuta nilicheki mzee wa taste nimeipitishaHiyo inahusu sheria kuna mwanasheria flani alisomea talanta hiyo ili alipe kisasi kwa waliosababisha wazazi wake wafariki.
Lakini katika harakati za kulipa kisasi anakuja kugundua aliofanikisha kuwaangusha walilkuwa vidagaa tu kuna mtu mkubwa alikuwa nyuma yao.
Kipindi chote hicho alitengana na Dada ake ambaye aliolewa wakiwa bado wadogo na hawakuonana tena.
Anyway hii drama sio kila mtu anaweza kuipenda haina action ni watchable kwa wapenda historical dramas.
imenibidi nirudi PM nithibitishe hiki ulichokiandika.Dae ni wa kipekee
Mimi nilikua natizama dizain ukiomba movie unakutana nazo enzi za chuo na za itv
Nilivyokutana na huu uzi humu, nikamfuata pm eti naomba movie
shukrani sana brother tusiejuana kisura.Mwaka 2018 nilipojiunga Jf nilijua hakuna mtu anajua mambo ya kuhusu Korea kunishinda, pia nilikuwa nimejifunza kusoma na kuandika kikorea, kuhusu kuelewa nilikuwa bado kwenye amateur level. Lakini nilipofika humu ndani, niliona andiko lake, na kuna vitu nilikuwa nadhani navielewa sana lakini Jamaa alikuwa anavielewa zaidi. Nami sikutaka battle nae bali nilijinyenyekeza na kumwambia kuanzia leo nitajifunza mengi toka kwako. Wapo wengine wapo vizuri mno pia wanafanya vizuri, k Hata hawa dada zetu wakuu wakuu(Numbisa n.k). Wewe nimekuona recently.
Anyway watu nilowakuta humu walinifanya niwe humble nakujifunza zaidi.
Huyu Daemusin aliwahi kunipa kitabu cha grammar za kikorea.
Hii ilikuwa scene ya legend of blue sea(moja ya classic drama niliyowai kuirudia )Akina Lee Min Ho na Jun Ji Hyun watakuwa proud wakiona hii scene ya Tale Of Njne Tailed 1938 [emoji23]View attachment 2622833
mwaka 2015 (disemba)nilipojiunga humu JF hata mimi nilikuwa na fikra kama za kwako ila siku ya kwanza tu kuandika comment ndani ya thread hii nikagundua ya kwamba napaswa kujifunza zaidi upande wa historical.Mwaka 2018 nilipojiunga Jf nilijua hakuna mtu anajua mambo ya kuhusu Korea kunishinda, pia nilikuwa nimejifunza kusoma na kuandika kikorea, kuhusu kuelewa nilikuwa bado kwenye amateur level. Lakini nilipofika humu ndani, niliona andiko lake, na kuna vitu nilikuwa nadhani navielewa sana lakini Jamaa alikuwa anavielewa zaidi.
Inafanana nayo tu hii ni mpyaHii ilikuwa scene ya legend of blue sea(moja ya classic drama niliyowai kuirudia )
Sent from my SM-A127F using JamiiForums mobile app