Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Jamani nani anaweza kunipa majina ya series za kikorea ambazo zina..... romance. ...action...... Fantasy (uchawi uchawi) kama gu family book.... Kali kali........ Za kijijini.......
 
Jamani nani anaweza kunipa majina ya series za kikorea ambazo zina..... romance. ...action...... Fantasy (uchawi uchawi) kama gu family book.... Kali kali........ Za kijijini.......
four Gods
Night watch Man
scholar walk at night
arang & maginstrate
jeon woo chi
 
Hizi storica drama za Korea ni za kweli kabisa, zimeigizwa kutokana na kitabu cha matukio kinachoitwa A BOOK OF THREE HAN. Kwa hiyo kila anaigiza anachagua kipande fulani na kuigiza.
 
Hizi storica drama za Korea ni za kweli kabisa, zimeigizwa kutokana na kitabu cha matukio kinachoitwa A BOOK OF THREE HAN. Kwa hiyo kila anaigiza anachagua kipande fulani na kuigiza.

CORRECTION MKUU;
mimi ni mpenda historia na historia ya Korea ipo mkononi, pia hizi korean historical drama ama kwa jina lingine SAGEUKS sijawahi kuona wala kusikia kitabu kinachoitwa BOOK OF THREE HANS. Hilo ni jina lingine tu la Tamthilia ya JUMONG, ama prince of the legend.
Ni kweli ulivyosema kuwa hizi Sageuks zinatengenezwa kwa kutumia real historical events na real historical figures lakini vitabu ambavyo vinahusika sana ni hivi vifuatavyo.
1. SAMGUK YUSA
2. SAMGUK SAGI.
3. GORYEOSA.
4. OLD BOOK OF TANG.
5. NEW BOOK OF TANG.
Nimesoma Samguk Yusa na events zote from Jumong to Kim Yushin to Uija to Bidam zipo humo,folks, myths na kila kitu.
Hivyo vingine sijavipata na nina mpango wa kununua online.


Call Me KIM MO JO SAN
 
Taifa la Joseon ndilo lenye "drama" nyingi. Limeanzishwa baada ya kuanguka Goryeo.

Kama wanaJF wapenzi wa hizi "historical drama", historia ya Korea ni "drama" ya Jumong aliyeanzisha Taifa la Goguryeo. Liangushwa na Tang (Taifa la China) kwa kushiriana na Taifa la Silla - angalieni "Dae Jo Yeong" mwanzilishi wa Taifa la Balhae.

"Drama" za Goguryeo ni Jumong, The Kingdom of the Wind (Mfalme Yuri, mtoto wa Jumong), Princess Ja Myung Go (Mfalme Daemusin - Muyul, mtoto wa Yuri), The Legend, The Sword and Flower, na Yeon Gae Somun.

Mkuu kwa sie wananchi wazalendo wa taifa la GOGURYEO kutomuweka THE GREAT KING GWANGAETO umetufanyia uhaini mkubwa sana kiukweli.
Chonde Chonde bwana.
Ni wafalme wawili tu katika historia ya Korea waliopewa Posthumous tiltle ya Great King,
1. The Great King Gwangaeto.
2. The Great King Sejong.
"Today, King Gwanggaeto the Great is one of two rulers of Korea who were given the title 'Great' after their name (the other one being King Sejong the Great of Joseon, who created the Hangul)."

Usifanye hivyo mkuu bwana, mtu alipiga Mongolia,Japan, China,hadi Urusi alifika na akaiweka chini yake bwana huyu ni great, Tang na Silla kuungana kumpiga kwasababu mmoja mmoja hamna aliyeweza.

Shikamoo Gwangaeto!
 
Mkuu kwa sie wananchi wazalendo wa taifa la GOGURYEO kutomuweka THE GREAT KING GWANGAETO umetufanyia uhaini mkubwa sana kiukweli.
Chonde Chonde bwana.
Ni wafalme wawili tu katika historia ya Korea waliopewa Posthumous tiltle ya Great King,
1. The Great King Gwangaeto.
2. The Great King Sejong.
"Today, King Gwanggaeto the Great is one of two rulers of Korea who were given the title 'Great' after their name (the other one being King Sejong the Great of Joseon, who created the Hangul)."

Usifanye hivyo mkuu bwana, mtu alipiga Mongolia,Japan, China,hadi Urusi alifika na akaiweka chini yake bwana huyu ni great, Tang na Silla kuungana kumpiga kwasababu mmoja mmoja hamna aliyeweza.

Shikamoo Gwangaeto!
mkuu naomb link nzur ya kusoma historia ya korea mkuu
 
mkuu naomb link nzur ya kusoma historia ya korea mkuu

Mkuu una kichwa cha kushika na kupenda historia?
Hahahahahahahaha.
Kwanza anza kwa kuingia google type the GoJoseon, anzia hapo utapata links nyingi sana.
Historia ya Korea imeanzia hapo haswa kuna mtu anaitwa DANGUN ndiye anayechukuliwa kama baba wa Korea. Ila inasemekana sio binadamu. Hizo sasa ndo myths na folklores zilizonifanya nikatafute ivyo vitabu vya SAMGUK SAGI SAMGUK YUSA na vinginevyo. Can you beleve according to the books JUMONG, KING GEUMWA, HAE MOSU, na maprince wengi wa GAYA confederacy pia PARK HYEOKGEOSE mwanzilishi wa Silla na KIM ALJI mwanzilishi wa ukoo maarufu wa KIM, hao wote wanasemekana kuzaliwa kwa kutotolewa toka kwenye mayai according to the books.
Then kila unapoangalia drama ya Kikorea jipe homework ya kuja kutafuta about events ama watu waliohusika humo.
Kwa mfano ukiangalia GENERAL GYE BAEK au Ukiangalia the GREAT KINGS DREAM ukimaliza nenda search kuhusu Gye Baek, Na Kim Yusin (greatest general in Korean History) pia search kuhusu the Battle at Hwangsanbeol ambapo ndio Baekje ilipoanguka baada ya Gye Baek Kupigwa na kuuwawa dhidi ya Kim Yushin.

To cut the long story short;
Gojoseon->Pre-three kingdoms era (Buyeo kwa kina Gimwa na Taeso/Daeso, Young Goguryeo, Okjeo, Samhan)->Three kingdoms Era (Baekje, Silla,Goguryeo, Gaya confederacy baadae ikawadiffused/submitted into Silla)->Unified Silla(pumbavu zao Silla waliungana na Wachina wa Tang wakaangusha Gogurye na Baekje) and Balhae->Later three kingdoms;Silla(iliyoanza kuanguka na kumeguka), Later Baekje (Hubaekje), Later Goguryeo (Hugoguryeo) NB; Hubaekje na Hugoguryeo zilijimega toka kwa Unified Silla->Goryeo/Koryo->Joseon->Korean Empire->Chini ya Japanese rule na Provisional government->Baada ya Japan na wenzao kina Germany na Italy kupigwa na kushindwa vita ya pili ya dunia ndipo marekani na Urusi wakagawana Urusi akakaa North na Marekani akakaa south(ilipotokea civil war ndo mgawanyiko ukawa rasmi mpaka sasa North na South Korea from 1948.

Kwaiyo Silla Kwa leo wangekuwa mostly South Korea kabla ya kuziangusha Baekje na Goguryeo ila baada ya kuziangusha angekuwa kote, Baekje wangekuwa kotekote,wakati Goguryeo angekuwa China, Korea Zote, Urusi hata Mongolia. Koryo na Joseon wao pia wangekuwa kote.

Mkuu Kazi kwako.
Call Me Kim Mo Jo San from Ansiseong fort under Yang Manchun.
 
CORRECTION MKUU;
mimi ni mpenda historia na historia ya Korea ipo mkononi, pia hizi korean historical drama ama kwa jina lingine SAGEUKS sijawahi kuona wala kusikia kitabu kinachoitwa BOOK OF THREE HANS. Hilo ni jina lingine tu la Tamthilia ya JUMONG, ama prince of the legend.
Ni kweli ulivyosema kuwa hizi Sageuks zinatengenezwa kwa kutumia real historical events na real historical figures lakini vitabu ambavyo vinahusika sana ni hivi vifuatavyo.
1. SAMGUK YUSA
2. SAMGUK SAGI.
3. GORYEOSA.
4. OLD BOOK OF TANG.
5. NEW BOOK OF TANG.
Nimesoma Samguk Yusa na events zote from Jumong to Kim Yushin to Uija to Bidam zipo humo,folks, myths na kila kitu.
Hivyo vingine sijavipata na nina mpango wa kununua online.


Call Me KIM MO JO SAN
Mh asante mkuu kwa Correction inawezekana nilielewa vibaya maelezo haya; "a book of three han, a chapter of jumongo au a chapter of hae mosu" . Pamoja sana
 
Jamani nani anaweza kunipa majina ya series za kikorea ambazo zina..... romance. ...action...... Fantasy (uchawi uchawi) kama gu family book.... Kali kali........ Za kijijini.......
Fantasy;
-Faith
-Arang and the magistrate
-Night Watchman Journal
-Mirror of the witch
Periodic si nyingi kama za modern era!
 
Back
Top Bottom