Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

Song Il Gook Shares Adorable Video Of Triplets And Heartwarming Story About White Day
Mnamo Machi 14, Song Il Gook kupitia account yake ya instagram aliweka video ya watoto wake Daehan, Minguk, Manse waliovalia fomu za askari wa melini (sailor form) kwa ajili ya kuadhimisha siku nyeupe (white day)na pia walikuwa wanamtakia mapumziko mema mjomba wao ambaye amestaafu kazi ya ualimu.
song il kook pia alisimulia sababu inayomfanya aheshimu maadhimisho ya white day, aliandika
Daehan-Minguk-Manse-e1521058854297.jpg


"nilimchumbia mke wangu siku ya christmass eve ila nilishindwa kupata majibu kutoka kwake siku hiyo,ilipofika white day (14/03) ghafla mke wangu alinirudishia pete yangu, kiukweli nilibaki kushangaaa na kujiuliza
inamaana leo hii jumong ombi lake limekataliwa? (wakati huo alikuwa anaigiza drama ya jumong ambayio iliangaliwa na nusu ya wakorea).​
ni tukio la dakika chache ila nilihisi kama miaka imepita, mke wangu aliniambia
tafadhali naomba univalishe pete hii kwenye kidole changu.
nilifurahi sana kitendo cha mke wangu kunikubalia ombi langu lakini bado niliona napaswa kupewa ruhusa na wazazi wake.
mwalimu wangu wa shule ambaye baadae nilikuja kufahamu kuwa ni mjomba wa mke wangu alinisifia sana wakati alipokuwa akizungumza na wazazi wa mke wangu kuhusu mimi na mipango yangu ya kutaka kumuoa mtoto wao licha ya kuwa alikuwa anafahamu ya kwamba darasani nilikuwa na matokeo mabaya.
ukweli bila ya yeye leo hii daehan, minguk, manse wasingelikuwepo kwenye ulimwengu huu.
ninamtakia kila la kheri kwenye mapumziko yake
a h s a n t e s a n a m w a l i m u
HAPPY 10th WEDDING ANNIVERSARY
 
Korean drama zinatubamba kinoma ila shida nikuzipata. Mwanzo nlikua nazipakua kupitia sojuoppa.net, hii ilikua nirahis mno ku download na episode moja ilinihitaji wastan wa MB200 tu na ila sasa sina access kwenye hiyo website maana wanataka niji register namambo kibao. Wanajaseon mkanipa dramafire.com,nawashukuru.Hii dramafire ni rahisi lkn ep moja itakugharimu zaid ya mb 450 sasa hapo kwa ep 30 na zaidi sindo ntaua mtaji wangu wa karanga. Nawaomba mnipe website zaidi ambazo nirahisi na zinakupa option ya video quality.
 
part 1
하하하 하하하하하하하하 하 uzuri wa drama ya waikiki unanifanya niangalie bila ya kufuata mtiririko wa episode
Waikiki01-00431.jpg
  1. chale wa mchezo jun ki na doo sik baada ya kuhangaika sana wanaamua kwenda hospital kwa ajili ya kufanya kazi ya kutolewa damu na malipo yao kwa wiki ni $2000, nimecheka sana eti wanasema kumbe kazi yenyewe ni rahisi hivi,kutolewa damu tu tunalipwa pesa yote hii. wakati wengine wana damu ya kutosha lakini hawataki kuchangia damu wao ndio wameona ni chanzo chakujitengenezea fedha.hahahahahaaaaaaaa huyu jun ki atanimalizia hakiba yangu ya kutabasamu na kucheka, duh!
  2. kishindo walipotoka hospital kuna dawa walikula zikawabadilisha sauti basi walikutana na tax driver wakaomba usafiri, kumbe dereva wa tax naye alikuwa na tatizo la sauti kama wao jamaa akafikiri junki na doo sik wanamuigizia na kumdhihaki, hahahahahahahahahaha.
  3. jun ki amekwenda kwenye zoezi la mashindano ya kusaka vipaji akaigiza uhusika wa mwanajeshi akiwa vitani kumbe anayetafutwa pale ni mtu mwenye uwezo wa kuogelea, mwisho akaomba apewe nafasi nyengine na kuahidi atanyoa vinyweleo vyote kwenye mwili wake, siku ya mashindano ya kuogelea anakuja super star hajanyoa nywele hata za mnazi mmoja lakini kwa kuwa ni muogeleaji bora jun ki kaambiwa akae pembeni na nafasi yake atapewa super star, hahahahahahahhahaha mimi mwenyewe machozi yalinitoka.........mhhhh! tajiri wa kutafuta masikini wa kufanikiwa. mwisho wa siku kaishia kuwa mshabiki wa timu ya korea
    Waikiki03-00760.jpg
  4. alipotafutwa muigizaji anayeweza kuigiza bed scene ndio kanimaliza, director anamuhitaji muigizjai mwenye uzito wa kg 60 na jun ki ana uzito wa kg 71, jun ki anamuahidi director kupunguza kg 10 ndani ya wiki moja ili nafasi ya kuigiza bed scene apewe yeye aigize, duh siku ya shooting mdada anayetakiwa kuigiza kapata dharura, jun ki kachanganyikiwa, baadae anajitokeza super star anamwambia director kwa kuwa shij soo jung anataka kuigiza bed scene yeye mwenyewe basi naomba nafasi unipe mimi, hahahahahahahaaaaaaaa jun ki karudi nyumbani hana furaha kwa kukosa tena nafasi.
Waikiki05-00451.jpg

jun ki:mbona hata mimi natumia mswaki wako baadhi ya wakati
dong soo :nimemkuta anavaa nguo za yon ah
jun ki : mbona hata mimi navaa nguo za seo jin (chewbacca)
dong soo: nimemuona anazinusa nywele za yoon ah
jun ki : mbona hata mimi nywele zako ninazinusa
dongsoo : nimemkuta ana nguo ya ndani ya mwanamke
jun ki: mbona hata mimi navaa nguo za ndani za seojin.
hahahahahahahahaaaaaaaaaaaaa dong sooo akaona duh huyu jamaaa ni tahira wa kutupwa.

do shik : hivi jun ki huoni tabu kukubali kuigiza pornographic movie?
jun ki : sijali ninachohitaji nipate fedha ili nimlipe dong soo
do shik : vipi kuhusu wazazi wako wakiiona movie yako?
jun ki : mimi sijali kwanza wazazi wangu wanapenda movie za erotic
do shik : vipi kuhusu mke wako hapo baadae utakapo funga ndoa?
jun ki : gwenchanah nitatafuta mwanamke anayependa movie za ngono
do shik : vipi kuhusu watoto wako?
jun ki : gwenchanayo nitaangalia nao pamoja na itakuwa vizuri zaidi kwa sababu watapata kujua sexy education wakiwa wadogooo
 
part 1
하하하 하하하하하하하하 하 uzuri wa drama ya waikiki unanifanya niangalie bila ya kufuata mtiririko wa episode
Waikiki01-00431.jpg
  1. chale wa mchezo jun ki na doo sik baada ya kuhangaika sana wanaamua kwenda hospital kwa ajili ya kufanya kazi ya kutolewa damu na malipo yao kwa wiki ni $2000, nimecheka sana eti wanasema kumbe kazi yenyewe ni rahisi hivi,kutolewa damu tu tunalipwa pesa yote hii. wakati wengine wana damu ya kutosha lakini hawataki kuchangia damu wao ndio wameona ni chanzo chakujitengenezea fedha.hahahahahaaaaaaaa huyu jun ki atanimalizia hakiba yangu ya kutabasamu na kucheka, duh!
  2. kishindo walipotoka hospital kuna dawa walikula zikawabadilisha sauti basi walikutana na tax driver wakaomba usafiri, kumbe dereva wa tax naye alikuwa na tatizo la sauti kama wao jamaa akafikiri junki na doo sik wanamuigizia na kumdhihaki, hahahahahahahahahaha.
  3. jun ki amekwenda kwenye zoezi la mashindano ya kusaka vipaji akaigiza uhusika wa mwanajeshi akiwa vitani kumbe anayetafutwa pale ni mtu mwenye uwezo wa kuogelea, mwisho akaomba apewe nafasi nyengine na kuahidi atanyoa vinyweleo vyote kwenye mwili wake, siku ya mashindano ya kuogelea anakuja super star hajanyoa nywele hata za mnazi mmoja lakini kwa kuwa ni muogeleaji bora jun ki kaambiwa akae pembeni na nafasi yake atapewa super star, hahahahahahahhahaha mimi mwenyewe machozi yalinitoka.........mhhhh! tajiri wa kutafuta masikini wa kufanikiwa. mwisho wa siku kaishia kuwa mshabiki wa timu ya korea
    Waikiki03-00760.jpg
  4. alipotafutwa muigizaji anayeweza kuigiza bed scene ndio kanimaliza, director anamuhitaji muigizjai mwenye uzito wa kg 60 na jun ki ana uzito wa kg 71, jun ki anamuahidi director kupunguza kg 10 ndani ya wiki moja ili nafasi ya kuigiza bed scene apewe yeye aigize, duh siku ya shooting mdada anayetakiwa kuigiza kapata dharura, jun ki kachanganyikiwa, baadae anajitokeza super star anamwambia director kwa kuwa shij soo jung anataka kuigiza bed scene yeye mwenyewe basi naomba nafasi unipe mimi, hahahahahahahaaaaaaaa jun ki karudi nyumbani hana furaha kwa kukosa tena nafasi.
Waikiki05-00451.jpg

jun ki:mbona hata mimi natumia mswaki wako baadhi ya wakati
dong soo :nimemkuta anavaa nguo za yon ah
jun ki : mbona hata mimi navaa nguo za seo jin (chewbacca)
dong soo: nimemuona anazinusa nywele za yoon ah
jun ki : mbona hata mimi nywele zako ninazinusa
dongsoo : nimemkuta ana nguo ya ndani ya mwanamke
jun ki: mbona hata mimi navaa nguo za ndani za seojin.
hahahahahahahahaaaaaaaaaaaaa dong sooo akaona duh huyu jamaaa ni tahira wa kutupwa.

do shik : hivi jun ki huoni tabu kukubali kuigiza pornographic movie?
jun ki : sijali ninachohitaji nipate fedha ili nimlipe dong soo
do shik : vipi kuhusu wazazi wako wakiiona movie yako?
jun ki : mimi sijali kwanza wazazi wangu wanapenda movie za erotic
do shik : vipi kuhusu mke wako hapo baadae utakapo funga ndoa?
jun ki : gwenchanah nitatafuta mwanamke anayependa movie za ngono
do shik : vipi kuhusu watoto wako?
jun ki : gwenchanayo nitaangalia nao pamoja na itakuwa vizuri zaidi kwa sababu watapata kujua sexy education wakiwa wadogooo
Hahahahahahha, Damushin Umenifanya Nicheke Hatari Wakati Nasoma Aya Maelezo Ikabidi Niwe Nakumbuka Na Aya Matukio Jun Ki Ni Mweuuu Wa Mwisho Ana Ata Uzima Yaani, Ila Napenda Vile Anavyomajari Chawbacca,

Hii Drama Kuna Mtu Alishauri Uwe Unaangalia Peke Yako Maana Unaweza Kuonekana Chizi,
 
Korean drama zinatubamba kinoma ila shida nikuzipata. Mwanzo nlikua nazipakua kupitia sojuoppa.net, hii ilikua nirahis mno ku download na episode moja ilinihitaji wastan wa MB200 tu na ila sasa sina access kwenye hiyo website maana wanataka niji register namambo kibao. Wanajaseon mkanipa dramafire.com,nawashukuru.Hii dramafire ni rahisi lkn ep moja itakugharimu zaid ya mb 450 sasa hapo kwa ep 30 na zaidi sindo ntaua mtaji wangu wa karanga. Nawaomba mnipe website zaidi ambazo nirahisi na zinakupa option ya video quality.
Usijali ndugu pakua episode simple tu kuanzia mb 150 - 250 hutajuta kupitia

Watch tv series movies online free - DRAMAS.SE hii ndo kiboko
au
Kiss Drama | Watch drama online in HD quality and download free. Korean Drama, Chinese Drama, Japanese Drama, Taiwanese Drama, TV Shows, Movies Online.
 
Mkuu bundle ya mtandao gani unapata hyo 16gb nq mimi niweze download series za kutosha....
 
wakuu naombeni kujua tofuti kati ya kim nana na kim so hyun ni mmoja au ni tofauti (msisitizo kim so hyun ni wa kike sio yule wa kiume ambae ni kim soo hyun.
 
Back
Top Bottom