DAEMUSHIN
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,428
- 120,464
Labda comment yako nayo itakuwa nimeifuta.🤣🤣🤣🤣lawama zote nawapa MUFC,timu haieleweki ile sio kwa kukuchanganya huko hadi unasahau nilitoa mwaliko wa pasaka
mualiko wa pasaka sijauona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda comment yako nayo itakuwa nimeifuta.🤣🤣🤣🤣lawama zote nawapa MUFC,timu haieleweki ile sio kwa kukuchanganya huko hadi unasahau nilitoa mwaliko wa pasaka
Labda comment yako nayo itakuwa nimeifuta.
mualiko wa pasaka sijauona
huo ni mualiko au taarifa,Labda comment yako nayo itakuwa nimeifuta.
mualiko wa pasaka sijauona
Nimeona hadi pozi la cover🙌🏾Jamani mmeona kuna what's wrong with secretary kim ya wafilipino sijui wale?
Wameamua kutoa copy and paste kila kitu vilevile,hawajabadili kitu hata kimoja!
Sielewi hii imekaaje?
Haijanishawaishi hiyo wataangalia Pinoy fans tuNimeona hadi pozi la cover[emoji1487]
Ila hapana kwakwel
Na kweli usitazame leo nimeamua kwenda na ya 19 sasa preview ya wiki ijayo natamani nisiangalie tena final decision day maumivu tupu maex wasiolia ni Kwang Tae na Jong Eun tu ambao washamove on kitambo.Mi
sijaitazama laat week nasubir iishe labda
Hata kitaani juwon atakujaga kumtaka yu jung, he was swayed enough. Ni kwamba tu hakuwa anaziona side za seokyung, shida yujung atamkubal?Na kweli usitazame leo nimeamua kwenda na ya 19 sasa preview ya wiki ijayo natamani nisiangalie tena final decision day maumivu tupu maex wasiolia ni Kwang Tae na Jong Eun tu ambao washamove on kitambo.
Hawa wengine machozi tu na nilivyoona sasa naweza kuanza kuiamini ile spoiler iliyosemaga endgames ni Juwon & Seokyung na Dong Jin & Dahye hao walirudiana.
Sasa mahesabu ya haraka naona kwa nn,Hye Won alimuacha Hwihyun akaenda kwa Dong Jin ambaye hawezi kutupa relationship yake na Dahye pia Yu Jung alimuacha Chang Jin akaenda kwa Juwon ambaye nae hawezi kumuacha Seokyung aende.
Hiyo ndio mess i hope isiwe hivyo ila mtoa spoiler alishatoaga spoiler ya ex wa Kwang Tae na Sang Jeong kabla hata hawatarajii kuonekana.
Ikiwa hivyo nitaamini Hyewon na Yujung ni wapuuzi sana walikuwa excited na short time na watu ambao wanastruggle kuwasahau maex wao
Mim nje ya korea bora nirud kwa hao wehu wamarekan, philipine wananipaga vibe za wahind ah.Haijanishawaishi hiyo wataangalia Pinoy fans tu
SIjui hata wamewaza nini kwakweliNimeona hadi pozi la cover🙌🏾
Ila hapana kwakwel
We mi ni best sword man mzeeIntelligent businessman The Igutu
Jana nili kuwa napitia list ya series za 2015, Kuna vyuma hatu vijui na ni vya moto mnoo.Selikavu The Shahati
Kama kuna mwaka ambao Industry ya Kdrama iliachia vitu vya moto basi ni 2016, ule mwaka ulikuwa mtamu sana kwa K-fans.Jana nili kuwa napitia list ya series za 2015, Kuna vyuma hatu vikui na ni vya moto mnoo.
The mighty Nita kufa kisa series😂🤣
Naelewa vyuma Kama legend of blue sea, scarlet heart vili letwa😁.Kama kuna mwaka ambao Industry ya Kdrama iliachia vitu vya moto basi ni 2016, ule mwaka ulikuwa mtamu sana kwa K-fans.
Ngoja nione hizo za 2015.
Yame nikuta, una jikuta una tetemeka.Bundle lipo la kumwaga muda upo ila kila drama nzuri naona nishaangalia, hii feeling huwa inaboa sana.