Tripo9
JF-Expert Member
- Sep 9, 2009
- 4,357
- 3,550
Hili niliseme maana naona wengi wanafatilia mpira lakini hawalijui.
Mnyama Simba bado atapanda ndege. Amepelekwa kwenye CAF confederation cup yaani shirikisho kule ambako kina Azam na Biashara wametolewa.
Ukiwa mkubwa ni mkubwa tu. Maana watu wanaumia na kwa wale mashabiki wenzangu na mi maandaz hili wala hawalijui.
So we still have a chance to impress guys. Chance to board planes guys. Stay calm, we arent at Utopolo levels at the moment. We shall bounce back big time after having learnt a harsh lesson yesterday.
Mnyama Simba bado atapanda ndege. Amepelekwa kwenye CAF confederation cup yaani shirikisho kule ambako kina Azam na Biashara wametolewa.
Ukiwa mkubwa ni mkubwa tu. Maana watu wanaumia na kwa wale mashabiki wenzangu na mi maandaz hili wala hawalijui.
So we still have a chance to impress guys. Chance to board planes guys. Stay calm, we arent at Utopolo levels at the moment. We shall bounce back big time after having learnt a harsh lesson yesterday.