nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,932
Siyo kizembe wewe,usipokubali kuwa hampo vizuri.Sawa ila kule sio kwetu sisi kwetu ni huku kwa mabingwa wenzetu ambako tumepoteza kizembe sana
Msipokubali ukweli hamtaweza kurekebisha timu,mtazidi kushuka
Hebu fuatilieni uwezo wa timu yenu toka Siku ya simba day
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app