Hatujafuzu tunatakiwa tukaze t@ko Sawa.
Hivi kwa aibu hii tulioipata unafikiri tutabweteka tena kama kwenye hii mechi???!!! Hili ni funzo kubwa tumelipata.
Nyie chezeni zenuni ligi ya nyumbani mtuachie msala wetu. We should be fine.
Na mkae mkijua kua this time around hatutaweza kuwabeba tena mjibebe wenyewe maana Sisi wenyewe ndio Ivo tushatupwa Europa. Kwanza tukiwabeba wengine hamna hata nauli ya kwendea. Na wengine mnatoka kwa aibu. Mnafumuliwa home n away. Bora Sisi tumetoka Sawa Ila kwa away goals rule.
Sent from my Redmi 7A using
JamiiForums mobile app