Kwa wataalamu, nini hupelekea mwanamke kutoa penzi kwa rafiki mpya

Kwa wataalamu, nini hupelekea mwanamke kutoa penzi kwa rafiki mpya

Unapekua au unavaa kinga? Kama anatoa utamu kirahisi mpaka anafika chuo basi msululu utakuwa sio wa nchi hii. Kaka vaa kondomu, utakuja kumwaga machozi mbele. Narudia usipekue utakuja kunishukuru mbele
 
Angekusumbua pia ungelalamika?? Waswahili hamna fadhila
 
Unapekua au unavaa kinga? Kama anatoa utamu kirahisi mpaka anafika chuo basi msululu utakuwa sio wa nchi hii. Kaka vaa kondomu, utakuja kumwaga machozi mbele. Narudia usipekue utakuja kunishukuru mbele
Sawa mkuu
 
Hapo ajabu i wapi? Ulipo kuwa unamchezea hukujua atapata hamu na kutaka mtanange.

Ukimpa mtu msosi akiwa na njaa ni ngumu kukataa kukupa stori unayo itaka. hata bila ya kumuuliza atakwambia tu.
 
Weeeee mtoa mada mbona inaonekana hukutumia kinga na ndio kwanza umeonana naye?we endelea kupuuzia ukimwi upo au ndio wale ambao condoms zinawabana!!!
 
Binadamu sisi hatuna shukrani kwa binadamu wenzetu na hata kwa Mungu pia.

Umeutaka utamu ukaupata siku ya kwanza ku attempt lakini bado hujaridhika unataka kujua kwanini uliupata kirahisi namna hiyo?
Ilikuwa tamuuu
 
weeeee mtoa mada mbona inaonekana hukutumia kinga na ndio kwanza umeonana naye?we endelea kupuuzia ukimwi upo au ndio wale ambao condoms zinawabana!!!
Day one nilimwagilia nying mkuu
 
Back
Top Bottom