Kwa Watanzania walio na malengo ya kuishi kutafuta kazi au kusoma nchini Ubelgiji au Uswisi someni hapa

Mbona hata Mimi KALABASH naendaga sana hii ya hapa mwengeπŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Mkuuu Paraboa mimi na kadegree kangu ka ualimu naweza hitajika huko? Au ndoo sina thamani kama huku kwenye nchi za matakoni?

Sent using Jamii Forums mobile app
Uswisi walimu ndio wanaongoza kulipwa vizuri na kuthaminiwa zaidi ya kada nyingine lakini mtaala wa elim ya Tz na huku haviendani na hiyo ndiyo itakayokupa ugumu labda Kama unafundisha kiswahili

Huku sekta ni sekta ya elimu ni sensitive sana na inathaminiwa mno
 
Wengine kufika tu daresilam ilikuwa kama bahati sana maana nimezaliwa kijijini ndani mnooo,sasa leo hii nije kitoboa sijui Belgium, it's real going to be unspeakable dream
 
Wengine kufika tu daresilam ilikuwa kama bahati sana maana nimezaliwa kijijini ndani mnooo,sasa leo hii nije kitoboa sijui Belgium, it's real going to be unspeakable dream
Mzee mbona hata sisi tumezaliwa huko vijijini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…