Kwa watu walio karibu na Joseph Mbilinyi Sugu, wamfikishie ushauri huu wa bure

Kwa watu walio karibu na Joseph Mbilinyi Sugu, wamfikishie ushauri huu wa bure

Njoo Kongwa kisha Mtera alipokuwa PM halafu uniambie wamefanya nini ukitoka hapo twende LUPASO halafu Chalinze, nikupeleke kwa Pinda? Au kwa Sumaye? Au hata Monduli? Unapajua Isimani kwa Lukuvi?

The list is too long😠😠

Usijitoe ufahamu
 
Nahsi hayuko sawa Kuta kitu anapush ...Sugu ana heshima sana kila kona ila anapoenda sio fresh angefanya harmorapa isingekuwa ishu kubwa sana..ila mchzi ana utoto fulani hii ni tabia kama ya vunjabei nae kwanza nayo.
 
Sugu aachane na mambo ya kitoto, kukubalika kwa Sugu Mbeya au popote pale hakuna uhusiano wowote kwamba kwa miaka 10 ya ubunge wake kuna jambo la ajabu au la maana sana amefanya jimboni Mbeya mjini la hasha, Bali ni kazi yake ya Sanaaa ndio imeendelea kumuweka mioyoni mwa watu hasa vijana, hata Diamond akigombea Ubunge anashinda saa 2 asubuhi tu Kwa base ya mashabiki aliyonayo.

Sasa ushauri wangu ni huu, Sugu una miaka 50, lakini bado unaishi maisha ya wanaobalehe kuandika post za tambo kila siku kwenye social networks ili kuonesha ulimwengu kwamba wewe ni tajiri na umeshafanikiwa.

Sasa Sugu hujui Watanzania wengi ni maskini, unawalingishia utajili halafu 2025 unataka maskini waendelee kukutajilisha Kuku peleka bungeni, aisee ndio utajuwa hujui.

Acha hizi tabia za kitoto Mara moja, jikite kwenye kutoa misaada kwa Watoto yatima na wenye uhitaji, hizo ndio tambo za states Man na siyo kutambia Miwani ya laki saba.

Badirika Sasa, hizi tambo za kitoto za Kibongo fleva waachie kina Ommy Dimpoz.

Nimemaliza.

Erythrocyte
Masikini na ( Life Failures ) wakiongozwa na Mimi GENTAMYCINE na Matola ( Mleta Mada ) huwa tuna Wivu sana kwa wale Waliofanikiwa Kimaisha kuliko Sisi.

Sugu nipo pamoja nawe endelea tu Kuturingishia huo Utajiri wako kwani kuna wengine nao wakiwa hapa JamiiForums huwa Wanatutambia na Kutudharau akina GENTAMYCINE kutokana na Umasikini Wetu na Utajiri wao wa Kusadikika.

Yaani leo unaumia kwa Sugu kutambia Utajiri wake na Mafanikio yake ila Wewe unasahau kuwa Kutwa uwapo hapa JamiiForums huwa Unamringishia Utajiri wako wa Kusadikika GENTAMYCINE na hata Kumdharau ( Kunidharau ) kwa Umasikini wangu.

Kumbe huwa inauma? Kudadadeki!!
 
Sugu moto chini, balozi wa Marekani mwenyewe alimkubali na kumtembelea Sugu wanafanya na verse moja. Embu kila mtu aishi maisha yake mkuu
 
Masikini huwa tuna Wivu sana kwa wale Waliofanikiwa Kimaisha kuliko Sisi.

Sugu nipo pamoja nawe endelea tu Kuturingishia huo Utajiri wako kwani kuna wengine nao wakiwa hapa JamiiForums huwa Wanatutambia na Kutudharau akina GENTAMYCINE kutokana na Umasikini Wetu na Utajiri wao wa Kusadikika.

Yaani leo unaumia kwa Sugu kutambia Utajiri wake na Mafanikio yake ila Wewe unasahau kuwa Kutwa uwapo hapa JamiiForums huwa Unamringishia Utajiri wako wa Kusadikika GENTAMYCINE na hata Kumdharau ( Kunidharau ) kwa Umasikini wangu.

Kumbe huwa inauma? Kudadadeki!
Kama kuna mtu aliumia Sugu kudhurumiwa ubunge basi ni pamoja na Mimi.

Anayekuchukia hawezi kukwambia ukweli hata siku moja, atakuacha uharibikiwe.

Sugu napenda arudi mjengoni, asipojirekebisha anapigwa uwanjani mchana kweupe kwa kura halali.

Dr Mwakyembe aliulizwa swali la kuudhi tu na mjinga mjinga mmoja, jibu lake tu lilitosha wapiga kura kumnyoosha.
 
Sugu aachane na mambo ya kitoto, kukubalika kwa Sugu Mbeya au popote pale hakuna uhusiano wowote kwamba kwa miaka 10 ya ubunge wake kuna jambo la ajabu au la maana sana amefanya jimboni Mbeya mjini la hasha, Bali ni kazi yake ya Sanaaa ndio imeendelea kumuweka mioyoni mwa watu hasa vijana, hata Diamond akigombea Ubunge anashinda saa 2 asubuhi tu Kwa base ya mashabiki aliyonayo.

Sasa ushauri wangu ni huu, Sugu una miaka 50, lakini bado unaishi maisha ya wanaobalehe kuandika post za tambo kila siku kwenye social networks ili kuonesha ulimwengu kwamba wewe ni tajiri na umeshafanikiwa.

Sasa Sugu hujui Watanzania wengi ni maskini, unawalingishia utajili halafu 2025 unataka maskini waendelee kukutajilisha Kuku peleka bungeni, aisee ndio utajuwa hujui.

Acha hizi tabia za kitoto Mara moja, jikite kwenye kutoa misaada kwa Watoto yatima na wenye uhitaji, hizo ndio tambo za states Man na siyo kutambia Miwani ya laki saba.

Badirika Sasa, hizi tambo za kitoto za Kibongo fleva waachie kina Ommy Dimpoz.

Nimemaliza.

Erythrocyte
kwani Tulia mpaka sasa kuna kitu amefanya mbeya
 
Kama kuna mtu aliumia Sugu kudhurumiwa ubunge basi ni pamoja na Mimi.

Anayekuchukia hawezi kukwambia ukweli hata siku moja, atakuacha uharibikiwe.

Sugu napenda arudi mjengoni, asipojirekebisha anapigwa uwanjani mchana kweupe kwa kura halali.

Dr Mwakyembe aliulizwa swali la kuudhi tu na mjinga mjinga mmoja, jibu lake tu lilitosha wapiga kura kumnyoosha.
Kwahiyo unataka kusema kuwa hata Rais wa Yanga SC ( Klabu yako Unayoishabikia ) Injinia Hersi Said nae baada ya miaka Minne ijayo akija kuwaombeni tena Kura wana Yanga SC hamtompa kwakuwa amewadhalilisheni kwa kuwaita Wala Mihogo wa Chanika akimaanisha kuwa ni Masikini wa Kutupwa?
 
Back
Top Bottom