Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Huyo ana upeo wa Form IV, hakuna kitu intellectual cha kutegemewa hapo.Sugu kawa mpuuzi sana! Amekuwa limbukeni wakati kawa maarufu toka kitambo…
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ana upeo wa Form IV, hakuna kitu intellectual cha kutegemewa hapo.Sugu kawa mpuuzi sana! Amekuwa limbukeni wakati kawa maarufu toka kitambo…
We bwana mdogo, hata kuoa hujaoa(nimesoma mada yako unataka kuoa baada ya balehe).Masikini na ( Life Failures ) wakiongozwa na Mimi GENTAMYCINE na Matola ( Mleta Mada ) huwa tuna Wivu sana kwa wale Waliofanikiwa Kimaisha kuliko Sisi.
Sugu nipo pamoja nawe endelea tu Kuturingishia huo Utajiri wako kwani kuna wengine nao wakiwa hapa JamiiForums huwa Wanatutambia na Kutudharau akina GENTAMYCINE kutokana na Umasikini Wetu na Utajiri wao wa Kusadikika.
Yaani leo unaumia kwa Sugu kutambia Utajiri wake na Mafanikio yake ila Wewe unasahau kuwa Kutwa uwapo hapa JamiiForums huwa Unamringishia Utajiri wako wa Kusadikika GENTAMYCINE na hata Kumdharau ( Kunidharau ) kwa Umasikini wangu.
Kumbe huwa inauma? Kudadadeki!!
We Mhaya acha umbeaSugu aachane na mambo ya kitoto, kukubalika kwa Sugu Mbeya au popote pale hakuna uhusiano wowote kwamba kwa miaka 10 ya ubunge wake kuna jambo la ajabu au la maana sana amefanya jimboni Mbeya mjini la hasha, Bali ni kazi yake ya Sanaaa ndio imeendelea kumuweka mioyoni mwa watu hasa vijana, hata Diamond akigombea Ubunge anashinda saa 2 asubuhi tu Kwa base ya mashabiki aliyonayo.
Sasa ushauri wangu ni huu, Sugu una miaka 50, lakini bado unaishi maisha ya wanaobalehe kuandika post za tambo kila siku kwenye social networks ili kuonesha ulimwengu kwamba wewe ni tajiri na umeshafanikiwa.
Sasa Sugu hujui Watanzania wengi ni maskini, unawalingishia utajili halafu 2025 unataka maskini waendelee kukutajilisha Kukupeleka bungeni, aisee ndio utajuwa hujui.
Acha hizi tabia za kitoto Mara moja, jikite kwenye kutoa misaada kwa Watoto yatima na wenye uhitaji, hizo ndio tambo za states Man na siyo kutambia Miwani ya laki saba.
Badirika Sasa, hizi tambo za kitoto za Kibongo fleva waachie kina Ommy Dimpoz.
Nimemaliza.
Erythrocyte
Mwanangu nmekusomaUkishaamuwa kuwa state man, basi lazima kuna Uhuru wako ukubali kuupoteza kutunza reputation yako.
Diamond leo akichaguliwa kuwa mbunge hawezi kuendelea kuvaa vile vikaptula vyake, tusitee upuuzi.
Jose ni mwanangu sana tu, nimetumia platform hii kumkumbusha swagger anazokwenda nazo siyo.
Kuwa kiongozi kwenye jamii ya watu maskini inahitajika busara sana, wachache ndio wanaweza kunielewa nini namaanisha.
Kuna point hapa kuielewa inataka uwe na akili ya ziadaNachotambua ni kwamba:-
1.Usiongelee utajiri mbele ya masikini.
2.Usiongelee watoto mbele ya wagumba.
3.Usiongelee ulivyojaaliwa na Mungu mbele ya wasiojaaliwa.
Hivi vitu vinatengeneza chuki.
Matola you have a point.
We Mhaya acha umbea
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe matola ni masikini anaemuonea wivu SuguNachotambua ni kwamba:-
1.Usiongelee utajiri mbele ya masikini.
2.Usiongelee watoto mbele ya wagumba.
3.Usiongelee ulivyojaaliwa na Mungu mbele ya wasiojaaliwa.
Hivi vitu vinatengeneza chuki.
Matola you have a point.
Kabisa hata mimi nimemuelewa sana Matola ,inatakiwa Sugu Alay low afanye mambo kimya kimya watu watayaona wenyewe.Kuna point hapa kuielewa inataka uwe na akili ya ziada
Ila matola hakumsema sugu kwa ubaya
Ova
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Matola ni masikini anaemuinea wivu tajiri SuguKuna point hapa kuielewa inataka uwe na akili ya ziada
Ila matola hakumsema sugu kwa ubaya
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe matola ni masikini anaemuonea wivu Sugu
Hivi hao maskini wa jimbo hilo linalohusika, wanayo ahueni yoyote na huyo aliyepo sasa?Sasa Sugu hujui Watanzania wengi ni maskini, unawalingishia utajili halafu 2025 unataka maskini waendelee kukutajilisha Kukupeleka bungeni, aisee ndio utajuwa hujui.
Kwanza hii tabia sanasana unawaamsha hata waliolala kuanza kubaini kumbe ubunge ni Bonge la mtaji, Sasa ukiomba kura usije kushangaa watu nao kutaka pesa, nipe nikupe.Tulia ackson vumilia zama za Uhuru wawatu acha ajitanue
Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Waswahili wanasema! Pata pesa tukujuwe tabia yako! Umasikini unaficha Mambo mengi sana! Watu wengi wakiwa na njaa huigiza Maisha,akishapata pesa Sasa ndiyo hujionyesha uhalisia wake!!Kabisa hata mimi nimemuelewa sana Matola ,inatakiwa Sugu Alay low afanye mambo kimya kimya watu watayaona wenyewe.
Muziki wa kufokafoka ni sawa na mashairi ya majigambo.Majigambo ni kujisifu,kukarahisha wengine na kupenda kuwa mbele.Sugu anauishi muziki wake.Tatizo linakuja kwako weye unayemsikiliza na kumtafsiri.Usipate shida sana na mtindo wake wa maisha.Utajitesa bure.Sugu aachane na mambo ya kitoto, kukubalika kwa Sugu Mbeya au popote pale hakuna uhusiano wowote kwamba kwa miaka 10 ya ubunge wake kuna jambo la ajabu au la maana sana amefanya jimboni Mbeya mjini la hasha, Bali ni kazi yake ya Sanaaa ndio imeendelea kumuweka mioyoni mwa watu hasa vijana, hata Diamond akigombea Ubunge anashinda saa 2 asubuhi tu Kwa base ya mashabiki aliyonayo.
Sasa ushauri wangu ni huu, Sugu una miaka 50, lakini bado unaishi maisha ya wanaobalehe kuandika post za tambo kila siku kwenye social networks ili kuonesha ulimwengu kwamba wewe ni tajiri na umeshafanikiwa.
Sasa Sugu hujui Watanzania wengi ni maskini, unawalingishia utajili halafu 2025 unataka maskini waendelee kukutajilisha Kukupeleka bungeni, aisee ndio utajuwa hujui.
Acha hizi tabia za kitoto Mara moja, jikite kwenye kutoa misaada kwa Watoto yatima na wenye uhitaji, hizo ndio tambo za states Man na siyo kutambia Miwani ya laki saba.
Badirika Sasa, hizi tambo za kitoto za Kibongo fleva waachie kina Ommy Dimpoz.
Nimemaliza.
Erythrocyte
Halafu usisahau kuna mitihani ya maradhi duniani, watu watashangaa wakiambiwa wamchangie matibabu millionaire.Muziki wa kufokafoka ni sawa na mashairi ya majigambo.Majigambo ni kujisifu,kukarahisha wengine na kupenda kuwa mbele.Sugu anauishi muziki wake.Tatizo linakuja kwako weye unayemsikiliza na kumtafsiri.Usipate shida sana na mtindo wake wa maisha.Utajitesa bure.
Una maana ya kusoma Kama Baharesa na utajiri wake!!??Shule shule shule.
Ukisoma na ukawa na pesa kuna raha zaidi.
Waafrica tulilaniwa kama Bara? Au kama ncho? Huwezi kuta huu ujinga Asia, Eurpo au Ameruca, Yeue yale si maisha yake? Kutwa nzima kufuatilia life la wenzako? Waagrica tuna upuuzi mwingi sanaSugu aachane na mambo ya kitoto, kukubalika kwa Sugu Mbeya au popote pale hakuna uhusiano wowote kwamba kwa miaka 10 ya ubunge wake kuna jambo la ajabu au la maana sana amefanya jimboni Mbeya mjini la hasha, Bali ni kazi yake ya Sanaaa ndio imeendelea kumuweka mioyoni mwa watu hasa vijana, hata Diamond akigombea Ubunge anashinda saa 2 asubuhi tu Kwa base ya mashabiki aliyonayo.
Sasa ushauri wangu ni huu, Sugu una miaka 50, lakini bado unaishi maisha ya wanaobalehe kuandika post za tambo kila siku kwenye social networks ili kuonesha ulimwengu kwamba wewe ni tajiri na umeshafanikiwa.
Sasa Sugu hujui Watanzania wengi ni maskini, unawalingishia utajili halafu 2025 unataka maskini waendelee kukutajilisha Kukupeleka bungeni, aisee ndio utajuwa hujui.
Acha hizi tabia za kitoto Mara moja, jikite kwenye kutoa misaada kwa Watoto yatima na wenye uhitaji, hizo ndio tambo za states Man na siyo kutambia Miwani ya laki saba.
Badirika Sasa, hizi tambo za kitoto za Kibongo fleva waachie kina Ommy Dimpoz.
Nimemaliza.
Erythrocyte