Kwa watu walio karibu na Joseph Mbilinyi Sugu, wamfikishie ushauri huu wa bure

Kwa watu walio karibu na Joseph Mbilinyi Sugu, wamfikishie ushauri huu wa bure

Kwani Rais mwenyewe anajitambua??

Au anasaidiwa kujitambu?

Angekuwa anajitambua angekubali kuendeshwa kwa Remote?

Kama Samia angekuwa anajitambua,angekubali kupelekeshwa na Makamba?
Acha chuki Mkuu Mama yupo anafanya Kazi vizuri Sana nchi imetulia


Kama ulizoea kuishi kiujanja ujanja Huwezi kuona kazi kubwa inayofanywa na Mh Rais.
 
Wakati wa kuchipukia kwenye usanii alikuwa anajiita MR Two. Kuna wakati akawa anakaa Tegeta karibu na bahari beach. Akaleta ubishoo wa 'visit my crib' kuringishia vitu na nyumba ya kaka yake. Wasela walipiga hodi. Bonda sana, kwapuwa kila kitu. Kwanini MR Two asihame! πŸ˜πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜…
Sasa analeta hizi za fadhila za wapiga kura na mikopo CRDB!
Haya yetu macho twaona hajajifunza.....
 
Kwani Rais mwenyewe anajitambua??

Au anasaidiwa kujitambu?

Angekuwa anajitambua angekubali kuendeshwa kwa Remote?

Kama Samia angekuwa anajitambua,angekubali kupelekeshwa na Makamba?
Bro Urais una Siri nzito sana,unaweza kuja na mawazo yako na yakagonga Mwamba,na ukibisha Urais unaukosa kwa njia yoyote ile, tusihukumu, anything is possible!!!
 
Ni kweli amenizidi ufupi na ujinga.
So una grab kwa vitu huna influence navyo kama height, You're such an idiot, Sugu ana flex that he makes way more money than you do [emoji38]
 
Nachotambua ni kwamba:-

1.Usiongelee utajiri mbele ya masikini.
2.Usiongelee watoto mbele ya wagumba.
3.Usiongelee ulivyojaaliwa na Mungu mbele ya wasiojaaliwa.

Hivi vitu vinatengeneza chuki.

Matola you have a point.
Yale yale ya Roberto Carlos kuwatambia waBrazili kuwa anavaa nyumba mkononi. Hapo akizungumzia gharama ya saa yake.
 
Yale yale ya Roberto Carlos kuwatambia waBrazili kuwa anavaa nyumba mkononi. Hapo akizungumzia gharama ya saa yake.
Teh teh Brazil ukijigamba,wageni lazima waje wakutembele
Aliibiwa gari de lima
Kule mambo ya pesa ficha kabisa
Usivimbe ,kuna watu wana njaaa

Ova
 
Sugu aachane na mambo ya kitoto, kukubalika kwa Sugu Mbeya au popote pale hakuna uhusiano wowote kwamba kwa miaka 10 ya ubunge wake kuna jambo la ajabu au la maana sana amefanya jimboni Mbeya mjini la hasha, Bali ni kazi yake ya Sanaaa ndio imeendelea kumuweka mioyoni mwa watu hasa vijana, hata Diamond akigombea Ubunge anashinda saa 2 asubuhi tu Kwa base ya mashabiki aliyonayo.

Sasa ushauri wangu ni huu, Sugu una miaka 50, lakini bado unaishi maisha ya wanaobalehe kuandika post za tambo kila siku kwenye social networks ili kuonesha ulimwengu kwamba wewe ni tajiri na umeshafanikiwa.

Sasa Sugu hujui Watanzania wengi ni maskini, unawalingishia utajili halafu 2025 unataka maskini waendelee kukutajilisha Kukupeleka bungeni, aisee ndio utajuwa hujui.

Acha hizi tabia za kitoto Mara moja, jikite kwenye kutoa misaada kwa Watoto yatima na wenye uhitaji, hizo ndio tambo za states Man na siyo kutambia Miwani ya laki saba.

Badirika Sasa, hizi tambo za kitoto za Kibongo fleva waachie kina Ommy Dimpoz.

Nimemaliza.

Erythrocyte
Kitendo cha post yako kupata likes zote hizo, tafsiri yake ni kuwa ume post kwa niaba ya watu wengi sana tulio na ujumbe wako huu vichwani mwetu.

Anachofanya huyo mzee mwenzetu ni ushamba na ulimbukeni tu.

Wapo age mates wa sugu na wengine below his age wana utajiri mkubwa 10x au zaidi huo anajtangaza sugu, lakini wanaishi kwa busara na hekina kama watu wa kawaida
 
Wakati wa kuchipukia kwenye usanii alikuwa anajiita MR Two. Kuna wakati akawa anakaa Tegeta karibu na bahari beach. Akaleta ubishoo wa 'visit my crib' kuringishia vitu na nyumba ya kaka yake. Wasela walipiga hodi. Bonda sana, kwapuwa kila kitu. Kwanini MR Two asihame! πŸ˜πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜…
Sasa analeta hizi za fadhila za wapiga kura na mikopo CRDB!
Haya yetu macho twaona hajajifunza.....
Ndio ile akaimba Sugu Sasa namiliki bunduki? Kumbe makachaa wameshamfanyia ubandidu.
 
Anatumotiveti na sisi tuingie kwenye siasa, ili tupate hela.
 
Back
Top Bottom