Kwa wenye supermarkets, maduka, matumizi binafsi ya watoto home nina supply hii biskuti 😋

Kwa wenye supermarkets, maduka, matumizi binafsi ya watoto home nina supply hii biskuti 😋

Deeboyfrexh

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2015
Posts
3,417
Reaction score
5,579
58C4C9AB-FEF5-407F-8686-AE6FB322C6D1.jpeg
0B70A31B-C46D-40AA-B3B9-8D3D5D36051F.jpeg
60079A4C-7A83-4E76-A9B9-359DC9D0ACE9.jpeg


Ni biskuti nzuri toka katika kampuni ya bakemate inayoitwa Kreme-E! Imetengenezwa na kuwa Imported from India.

Taste yake ni ya pekee ikiwa katika flavors mbili tofauti:
1.Chocolate
2.Orange

Ina ujazo na ladha nzuri zaidi compared na ambazo ziko madukani kama Royal, Cremelo na zinginezo, 82g per packet

Packaging iko kwenye box la khaki ambalo linabeba packets 24 ndani!

Nauza bei ya jumla Tsh.9000 kwa box. Hivyo nakukaribisha kama mdau wa ujasiriamali aidha una duka, supermarket au hata matumizi tu ya binafsi naweza kukuletea popote mjini!

Biskuti iko ya kutosha na mie ndio sole distributor. Check mi kwa biashara.
 
View attachment 1969216View attachment 1969217View attachment 1969218

Ni biskuti nzuri toka katika kampuni ya bakemate inayoitwa Kreme-E! Imetengenezwa na kuwa Imported from India.

Taste yake ni ya pekee ikiwa katika flavors mbili tofauti:
1.Chocolate
2.Orange

Ina ujazo na ladha nzuri zaidi compared na ambazo ziko madukani kama Royal, Cremelo na zinginezo, 82g per packet

Packaging iko kwenye box la khaki ambalo linabeba packets 24 ndani!

Nauza bei ya jumla Tsh.9000 kwa box. Hivyo nakukaribisha kama mdau wa ujasiriamali aidha una duka, supermarket au hata matumizi tu ya binafsi naweza kukuletea popote mjini!

Biskuti iko ya kutosha na mie ndio sole distributor. Check mi kwa biashara.
Mimi nina banda langu sehemu, nataka kuweka biashara ya jumla ya pipi na biskuti.
Hii ya kwako tutaongea ili uniletee.
Ninacho omba unisaidie wapi nitapata bidhaa nyingine za pipi na vinginevyo vya kutafuna, kiujumla cookies & sweets
 
Mimi nina banda langu sehemu, nataka kuweka biashara ya jumla ya pipi na biskuti.
Hii ya kwako tutaongea ili uniletee.
Ninacho omba unisaidie wapi nitapata bidhaa nyingine za pipi na vinginevyo vya kutafuna, kiujumla cookies & sweets
Poa nitakuletea
 
Back
Top Bottom