GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nasikia huko Kibaha, Chalinze na Morogoro imepiga ya maana na Watu wametafutana.
Wa Mabondeni mkae tayari leo oky?
Wa Mabondeni mkae tayari leo oky?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nivae Msuli wangu niende sasa Kawe Mabondeni nikamuondoe mapema Demu wangu ili Mbunye isije ikasombwa na Maji nikaikosa na nikarejea na utaratibu wangu Tukuka wa Kupiga Nyeto.Nasikia huko kibaha Koki zimefunguliwa mapema tuu ni Hali ya hatar Kwa Kweli
Tunaokaaa mabondeni sahvi tutahama wenyewe [emoji1]Nasikia huko Kibaha, Chalinze na Morogoro imepiga ya maana na Watu wametafutana.
Wa Mabondeni mkae tayari leo oky?
Kawe Ukwamani hali teteNgoja nivae Msuli wangu niende sasa Kawe Mabondeni nikamuondoe mapema Demu wangu ili Mbunye isije ikasombwa na Maji nikaikosa na nikarejea na utaratibu wangu Tukuka wa Kupiga Nyeto.
hufuatiliii hali ya hewa. tumia ile ya kimataifa huwa nadra kwenda kombo. mimi nilifuatilia ikaonyesha J3 itakua jua..kuanzia j4 kazi kazi vua la kutishaDuh mbona walisema DSM haitaathirikana hii mvua ,imekuaje tena?
😁 wasaidie wakusaidieNlipo upepo unavuma Sana wingu limekaa mkao soon naenda kuwasaidia wadada wa chuo godoro lao lisilowe
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Malaika wa zamu anachelewa. Fungulia baba heshima irudi mjini.
hapanaga mvua kubwa baada ya upepo.Nasikia huko Kibaha, Chalinze na Morogoro imepiga ya maana na Watu wametafutana.
Wa Mabondeni mkae tayari leo oky?
Mi nawasaidia tu.... mengine wakiamua wao mm ni nani hata nikatae fadhila za binti aliyeumbika?😁 wasaidie wakusaidie
Kama vile tuna pa kuhammia😂😂😂Tunaokaaa mabondeni sahvi tutahama wenyewe [emoji1]
Ova
Acha kuwacheka wenzako!! Nshakwambia ukiona upepo mkali, joto kali, mvua kubwa au hali ya hewa yeyote inayokufanya usiwe comfortable share location uje huku flow ya 19 uone jiji linavotepeta majiKama vile tuna pa kuhammia😂😂😂