Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Sasa mkuu unaenda kuwasaidia kuhamisha godoro unabeba condom za nini😁Mi nawasaidia tu.... mengine wakiamua wao mm ni nani hata nikatae fadhila za binti aliyeumbika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mkuu unaenda kuwasaidia kuhamisha godoro unabeba condom za nini😁Mi nawasaidia tu.... mengine wakiamua wao mm ni nani hata nikatae fadhila za binti aliyeumbika?
😂😂😂😂hii Dunia sikua haieleweki anything can happenSasa mkuu unaenda kuwasaidia kuhamisha godoro unabeba condom za nini😁
😂 uwe makini wakat unatoa simu zisije dondoka ukashtukiwa.😂😂😂😂hii Dunia sikua haieleweki anything can happen
Hio sehemu zamani walikuwa wanaishi ngamiaHamieni Ddoma.
Mvua ya kubeep....
Na temboHio sehemu zamani walikuwa wanaishi ngamia
....sahv ngamia wamehamia Msalato.Hio sehemu zamani walikuwa wanaishi ngamia
Kuna jamaang aliweka kwenye kibegi chake mda anatoa order zikadondoka😂😂 kiukwel siku ilikua ndefu sana😂 uwe makini wakat unatoa simu zisije dondoka ukashtukiwa.
AiseeeeMalaika wa zamu anachelewa. Fungulia baba heshima irudi mjini.
Sema ni muhimu kutembea na silaha maana siku hizi wavamizi ni wengi.Kuna jamaang aliweka kwenye kibegi chake mda anatoa order zikadondoka😂😂 kiukwel siku ilikua ndefu sana
Siku hizi naona suala la watu kulia sana imekua kawaida 😄😄Iringa malolo Imepiga Ya mawee ina upepo mkalii sana Ukitoka njee Inakupiga mawe na ukikaa ndani maji yanataka kuzoa nyumba so inabidi Ulie tu..
Changamoto ni namna ya kuzificha, imagine unazimia watu wanakusaidia Ndomu zinadondoka kwenye mfuko wa jeansSema ni muhimu kutembea na silaha maana siku hizi wavamizi ni wengi.
Sio mara zote mkuu,hii ya kwako huwa inatokea kama ilikuwa haijanyesha muda mrefu,lkn kama ilisimamam tu siku mbili inaweza ikanyesha kubwa na upepo wake...hapanaga mvua kubwa baada ya upepo.
Inaweza isinyeshe kabisa au ikanyesha rasharasha tu....
Nikitoka kazini nahamia kwako😂😂sirudi nyumbani kabisaAcha kuwacheka wenzako!! Nshakwambia ukiona upepo mkali, joto kali, mvua kubwa au hali ya hewa yeyote inayokufanya usiwe comfortable share location uje huku flow ya 19 uone jiji linavotepeta maji
Hapa nikanunue beseni na msuli....ntaoshwa miguu kama manara😂😂😂Nikitoka kazini nahamia kwako😂😂sirudi nyumbani kabisa
Na mafuta ya massage usisahau. Matatizo ni fursa ujue😂😂Hapa nikanunue beseni na msuli....ntaoshwa miguu kama manara😂😂😂
Kwani kuna uajabu gani kujilinda mkuu?Changamoto ni namna ya kuzificha, imagine unazimia watu wanakusaidia Ndomu zinadondoka kwenye mfuko wa jeans