Kwa wingu lililopo angani sasa na hii mvua inayokuja Yanga mkipona nitatekeleza hili!!

mkuu, basi tupia hapa sasa hivi kapicha ka dushe lako ili baadae tukompee before vs after!
 
Kwa taarifa nilizozipata za Kunyapia nyapia kwamba Mateja wotee wa Dar wakiwemo wa mikoan pia leo Taifa ni buuuree.. Wanashaur kufika kwa wingi kuwasapoti ndugu zao ,mabos wao Wauza donaa!!
 
Yanga ikishinda mkuu nakuja kukuchumbia maan utakua sio mwanaume tena , litalofata ni kupumuliwa tu
 
Kuna mechi matone ya mvua yaligandishwa hewani, mpaka mechi ilipoishi
ndo mvua ikaanza kunyesha.
 
Yanga oyeee..daima mbele leo ushind kwetu wana jangwani,lazimaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…