DOKEZO Kwa wote mnaotarajia kusafiri kwa magari yenu kipindi cha December/January ningependa kuwakumbusha jambo la msingi sana hapa, kwa faida na uhai wenu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Kama haujaandika hili naongezea

Uki overtake kabla ya kurudi, hakikisha unaona gari ulilo li overtake kwenye hicho kipo chako cha kati kuangalia nyuma

Yaani unaona gari hilo mbele na Barabara kidogo mbele yake

Hapo upo salama kwa umbali wewe kurudi kwenye Lane hiyo

Hili jambo asilimia kubwa sana wa Tanzania hata mjini hawajui kuendesha pia

Mengi umeyanena nami hili nimeongeza

Serikali inabidi ijiongoze kwenye kuelimisha kwa njia yoyote na kuwapa adhabu wakosefu kubwaaa, watu watakaa kuendesha magari etc

Waulize humu niwape mamboz kwa kuwa Jibu kama viongozi husika hawajui mambos
 
Hongera na Asante mwaka 2015 nilikuwa form four

Sasa nina degree
Nina magari
Nimeoa
Nina Nyumba

Na usafiri wangu mkuu Kwa safari za mbali ni ndege tu.

Nimependa ushauri wako Asante tena na tena.
Wape ushauri vijana wenzio maanake wengi wako ubaoni baada yakupata degree miaka hadi mitano hawapati ajira. Wewe nikiangalia hapa kama ni ajira ni miaka 5 tu una nyumba,magari,umeoa na unapanda ndege tu.
 
Tupe mambo coco
 
Sahihi
 
mi mida mwingine nazani ile akili unayokuwa nayo ukiwa nyuma ya steering wheel ni tofauti na hii unayokuwa ukiwa nje ya chombo. ukiwa pale unajiamini sana na unaona hakuna kitu inaweza kukushinda aisee babake
 
Naomba Katibu hili andiko litunzwe nikipata gari nitahitaj kulitumia
 
Wakuu, kuna ajali nyingi sana zimetokea toka ni post hii thread, na kama hao madereva angekuwa wameoma huu uzi huenda wasingepata hizo ajali wala wala watu kufa. Jitahidi kuona huu uzi unasomwa na watu wengi
 


Ajali ya uzembe wa ku-overtake - jambo hili lipo kwenye thread

Muktasari:​

  • Ajali hiyo ilitokea saa 7 mchana Desemba 19, 2024 katika Wilaya ya Magu wakati basi la Kisire likitoka Mwanza kwenda Musoma na Tarime, wakati dereva huyo akijaribu kulipita gari la kampuni ya George Town bila kuchukua tahadhari.
 


Ajali ya Prado Nyasa. Inaonekana dereva hakutambua kasi ya mwendo wa gari na alivyoanza kukata kona gari ikamshinda. Nime sema kwenye thread kwamba ukiendesha gari safari ya mbali mara nyingi akili yako inazoea spidi hivyo unaweza usitambue uko spidi ya juu sana itakayokushinda kukata kona
 

Japo hatujaelezwa nini hasa kilikuwa chanzo cha ajali hii ya Mkurugenzi ofisi ya Msajiri wa Hazina, kuna uwezekano mkubwa sana ni mojawapo ya mambo yaliyogusiwa katika thread hii.

Ikumbukwe Polisi ni wepesi sana kulaumu madereva ajali inapotokea, lakini katika hii wamekaa kimya kuhusu nini kilisababisha ajali
 
Naona bado watu hawasikilizi ushauri.Angalia hii ajali, ujana tu unasumbua watu na kusababisha vifo.


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…