DOKEZO Kwa wote mnaotarajia kusafiri kwa magari yenu kipindi cha December/January ningependa kuwakumbusha jambo la msingi sana hapa, kwa faida na uhai wenu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Sasa hebu tuongee ukweli, angefuata ushauri katika thread hii, wangekufa?

 

Attachments

  • 1738433353231.png
    93.7 KB · Views: 3
Unajua nini, katika kipindi tangu nipost huu uzi, kuna watu ambao waliusoma, hawakuzingatia au walikabiliana na watu ambao hawakuzingatia, na sasa hawapo duniani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…