DOKEZOKwa wote mnaotarajia kusafiri kwa magari yenu kipindi cha December/January ningependa kuwakumbusha jambo la msingi sana hapa, kwa faida na uhai wenu
Unajua nini, katika kipindi tangu nipost huu uzi, kuna watu ambao waliusoma, hawakuzingatia au walikabiliana na watu ambao hawakuzingatia, na sasa hawapo duniani