Kumbe ni wivu,hujaelewa tu sijawahi kuwa na MR niliwahi kuwa na Cheusi.MR alipoona kwenye maelezo ya thread kuna kutongozana akasema nimtongoze nikamtolea nje,rudi nyuma page 1 utaelewa.Hahahaha kwanini nimekuchezea?!Mwenyewe si ulinichezea mpaka MR akarudi!Alivyokutosa ukarudi tena...alafu nikakuamini!!
Sauti nazozipenda ni K-lynn,Keisha na Linah chagua mwenyewe.
Nitoeni mimi underground!Hus naomba unipe dili hilo...
Sio wivu ni woga!Hata kama nimekosea jina bado story ni ile ile....ulinipenda CM alivyokua hayupo...alivyorudi ukanidondosha kama mkaa wa moto!Kumbe ni wivu,hujaelewa tu sijawahi kuwa na MR niliwahi kuwa na Cheusi.MR alipoona kwenye maelezo ya thread kuna kutongozana akasema nimtongoze nikamtolea nje,rudi nyuma page 1 utaelewa.
Hehehe asante Hus!Afadhali uwepo ili Uporoto asitake kuniuzia umaarufu kwa ile rushwa!dili ushapata, nitahakikisha prodyuza uporo hakuombi ile rushwa.
Rushwa ile lazima unajua sisi maprodusa huwa tunawabana kabla hawajajulikana sasa akishakuwa Jaydee utamwambia nini si ataenda kwa produsa mwingine ?dili ushapata, nitahakikisha prodyuza uporo hakuombi ile rushwa.
Nitarudi badae tena kwema humu ndani
Huyu jamaa yako mbona tunae hapa bar,ni mzima lakini kalewa sana sijui ulimuudhi nini asubuhi.
Gaga habari yako binafsiMshikishe usukani tu atafika home.
Gaga habari yako binafsi
Vipi mzee alirudi salama ? lakini jamaa yako muaminifu kawatolea nje mademu wote pale bar acha kumuudhi sawa ?Nzuri tu naona siku ya leo ni nzuri sana
Vipi mzee alirudi salama ? lakini jamaa yako muaminifu kawatolea nje mademu wote pale bar acha kumuudhi sawa ?