Kwa wote wenye malalamiko kuhusu jukwaa letu la Mahusiano.

Kwa wote wenye malalamiko kuhusu jukwaa letu la Mahusiano.

Hahahaha kwanini nimekuchezea?!Mwenyewe si ulinichezea mpaka MR akarudi!Alivyokutosa ukarudi tena...alafu nikakuamini!!
Kumbe ni wivu,hujaelewa tu sijawahi kuwa na MR niliwahi kuwa na Cheusi.MR alipoona kwenye maelezo ya thread kuna kutongozana akasema nimtongoze nikamtolea nje,rudi nyuma page 1 utaelewa.
 
Sauti nazozipenda ni K-lynn,Keisha na Linah chagua mwenyewe.

tumchukue underground lizzy. Hao masupastaa hawachelewi kwenda kujishebedua kwenye media.
Lizy ushakula shavu, lazima utoke mwaka huu.
 
Kumbe ni wivu,hujaelewa tu sijawahi kuwa na MR niliwahi kuwa na Cheusi.MR alipoona kwenye maelezo ya thread kuna kutongozana akasema nimtongoze nikamtolea nje,rudi nyuma page 1 utaelewa.
Sio wivu ni woga!Hata kama nimekosea jina bado story ni ile ile....ulinipenda CM alivyokua hayupo...alivyorudi ukanidondosha kama mkaa wa moto!
 
dili ushapata, nitahakikisha prodyuza uporo hakuombi ile rushwa.
Rushwa ile lazima unajua sisi maprodusa huwa tunawabana kabla hawajajulikana sasa akishakuwa Jaydee utamwambia nini si ataenda kwa produsa mwingine ?
 
Nitarudi badae tena kwema humu ndani
 
Vipi mzee alirudi salama ? lakini jamaa yako muaminifu kawatolea nje mademu wote pale bar acha kumuudhi sawa ?

Namwaminia sana ila aliniudhi kuchelewa na kutopokea simu tu, najua hafanyi lolote. Mealalamiko yangu ya leo humu ni watu kuomba ban bila kuaga jaman why??
 
Back
Top Bottom