Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
Duh! Liz kama hujaelewa somo miezi mitatu mizima naomba kukaa pembeni,endelea tu na 'mume halali'.
Ukipunguza ile ya MR zinabaki wiki mbili!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Liz kama hujaelewa somo miezi mitatu mizima naomba kukaa pembeni,endelea tu na 'mume halali'.
Mambo Michelle afadhali umekuja,mzima lakini ?malalamiko yangu ni ile mtu ukisema jambo lako watu wanafikiri unadanganya....mnatufanya wengine tu we waoga au waongo,na hii inaharibu maana ya kuwa na forums ambayo ina theme ya WHERE WE DARE TO TALK OPENLY and not WHERE WE TALK TO IMPRESS OR GET SUPPORT FROM MEMBERS WHO WE DO NOT EVEN KNOW!
Mambo Michelle afadhali umekuja,mzima lakini ?
Habari zangu nzuri,najua saa hizi nimechelewa mdalasini tea kesho vipi ?mi mzima,habari yako?
Habari zangu nzuri,najua saa hizi nimechelewa mdalasini tea kesho vipi ?
Mimi hapa. Hush-ninyo!
Hahaha! shori una maneno weye lol! kwa hiyo nitengenezee beats hizo voco zikiwa tayari au ?afadhali umejileta. Ngoja nipange voko.
Hahaha! shori una maneno weye lol! kwa hiyo nitengenezee beats hizo voco zikiwa tayari au ?
yap. Halafu nitaftie mdada mwenye sauti nyororo tumpe koras...
Sauti nazozipenda ni K-lynn,Keisha na Linah chagua mwenyewe.
Mama mchungaji utapata dili.Nitoeni mimi underground!Hus naomba unipe dili hilo...
Mama mchungaji utapata dili.
Umefikwa na nini ? umechezewa,mlivalishwa pete wengi,umefumania,umekuta sms ya ajabu kwa Mr tuambie malalamiko yote hapa na mwisho weekend.Nimejisikia kulia nimeona nije kulilia humu iiiiiiiiiiiiii aiiiiiiii aiiiiiiiiii. haya kwa heri
Si kama hivo umelete lalamiko lako ? nami nataka kujua kwanini umenipotezea muda wangu ?Yani nawahakikishia tuzo ya mwaka tutapata!!....Alafu nawakilisha malalamiko yangu....kwanini Uporoto ulianzisha hii sredi?
Si kama hivo umelete lalamiko lako ? nami nataka kujua kwanini umenipotezea muda wangu ?
Umefikwa na nini ? umechezewa,mlivalishwa pete wengi,umefumania,umekuta sms ya ajabu kwa Mr tuambie malalamiko yote hapa na mwisho weekend.