Katiba ya CCM imekataza Azimio kama hilo kwenye zoezi la kutafuta mgombea wa urais.
Wamelazimisha tu kwa sababu hatuna utamaduni wa kuheshimu katiba.
Uwezo wako ni mdogo sana!Nilifuatilia mkutano mkuu wa CCM, nikaona mzee mzima analazimishia azimio, nikajua hapa tayari
Wale waliokua wanakusudia kuchukua form na kupambana na mama itabidi warudishe mikia yao tumboni
Siasa, ni mchezo kama draft, CCM ikishafanya maamuzi ya kikatili wanakuaga na wimbo wao wakusindikizia maumivu kwa wale waliojeruhiwa.
Tuendelee kumuenzi huyu Mzee Kikwete, vinginevyo CCM ingepasuka na nani ajuae mpasuko huo ungekuwa na madhara gani hasi au chanya
Twende na mama wa Kizimkazi apewe mi-5 mingine
Kwahiyo na wewe unaamini nchimbi ni mwiba kwa kikwete!?na swahiba wa lowasa!!?Msoga wana hali ngumu ila inabidi wasake tu chaka la kujificha maana makamu alikua wa upande wa Lowasa hujui sahivi na yeye anaenda na gia gani....labda kama wawe wameyajenga....ila msoga waliwekeza nguvu kubwa sana kwa January na wenzake,,,na upepo umebadilika ghafla kwahio lazima watafute sehem yakujishikiza na ambao kidogo zinaweza zikaiva ni wale wa Laigwanan kama wameweka tofauti zao kando..........Sukuma wanacheza kete kote kasoro upande wa msoga tu
Kirusi hai.Nilifuatilia mkutano mkuu wa CCM, nikaona mzee mzima analazimishia azimio, nikajua hapa tayari
Wale waliokua wanakusudia kuchukua form na kupambana na mama itabidi warudishe mikia yao tumboni
Siasa, ni mchezo kama draft, CCM ikishafanya maamuzi ya kikatili wanakuaga na wimbo wao wakusindikizia maumivu kwa wale waliojeruhiwa.
Tuendelee kumuenzi huyu Mzee Kikwete, vinginevyo CCM ingepasuka na nani ajuae mpasuko huo ungekuwa na madhara gani hasi au chanya
Twende na mama wa Kizimkazi apewe mi-5 mingine
Isije kuwa laigwanani kafufuka kupitia mwili wa nchimbi msoga patageuka California.Msoga wana hali ngumu ila inabidi wasake tu chaka la kujificha maana makamu alikua wa upande wa Lowasa hujui sahivi na yeye anaenda na gia gani....labda kama wawe wameyajenga....ila msoga waliwekeza nguvu kubwa sana kwa January na wenzake,,,na upepo umebadilika ghafla kwahio lazima watafute sehem yakujishikiza na ambao kidogo zinaweza zikaiva ni wale wa Laigwanan kama wameweka tofauti zao kando..........Sukuma wanacheza kete kote kasoro upande wa msoga tu
Haha kumbuka pia pale kwa waziri mkuu kuna watu walicheza kete zao....kiufupi kila upande unacheza karata zake.....hio nafasi kwa Nchimbi alipokua haina nguvu kama wale jamaa wakiingia kwenye lile chimbo alilokaa katelephone......kile cheo cha makamu wa waziri mkuu walikua wanapiga hodi tu,,,,, na hapo isije ikatokea yule jamaa wa Arusha kurudi kugombea lile jimbo la Kigamboni yanaenda kua mengine.......makamu wa rais hana nguvu kulinganisha na ule upande ukiweka waziri mkuu na lazima hio kete wale jamaa wataicheza.......ambae anatoka aliachiwa kutembea na mkasi tu kufanya uzinduzi....nafasi sio ilimradi nafasi kila mtu ana target kwakeKwahiyo na wewe unaamini nchimbi ni mwiba kwa kikwete!?na swahiba wa lowasa!!?
KAZI ya system ni akili kubwa!kifupi nchimbi alipaswa kuwa makam tangu jpm alipofariki sema mama akasanuka!!
Sasa nchimbi amekaa nafasi aliyopaswa kuwepo kabla ikachelewa!!Sasa nchimbi ndiye!
Kuna kete ya waziri mkuu watu wanajisahau sana hapaIsije kuwa laigwanani kafufuka kupitia mwili wa nchimbi msoga patageuka California.
Siasa za Tanzania zimebadilika sana.Kuna kete ya waziri mkuu watu wanajisahau sana hapa
Mama hajaingizwa mkenge ila anajua namna ya kucheza nao.....watu walikua wanacheki upepo tu,,,,,kumbukeni kuna ile nafasi ya katelephone bado.........kwenye ubunge ndo zinakuja sarakasi za kutoshaUwezo wako ni mdogo sana!
Jk kamuingiza mama mkenge kijanjja Kwa mara nyingine!!
Msikilize Kwa makini sana utanielewa!yaani kamsaidia kukiuka Taratibu za chama na kuwahisha mchakato Ili vita vya chini chini vianze rasmi ambavyo ndio hatari zaidi kuliko kampeni rasmi!
Alichofanya ni kumsaidia kukosea zaidi coz mama alionekana kubabaika kufanya kosa kwa kuwatumia chawa ndani ya mkutano!
Ndio maana jk akataka iwe rasmi Ili na kitengo kiwe rasmi mzigoni!!
Machame not maranguKwahiyo kambi msoga imeshinda?
Ngoja Sasa tusubiri kambi Marangu na Singida
Na kila mtu anajua kutumia element of suprise kwenye vita zakeSiasa za Tanzania zimebadilika sana.
Wacha tuone.Na kila mtu anajua kutumia element of suprise kwenye vita zake
Mambo yametoka kwenye chama na urais sahivi vita inaingia kwenye ubunge....na ile nafasi inategemea sana hio nafasi ya ubungeWacha tuone.
Huyu mzee mimi simuamini kabisa,nadhani anasumbua sana tawala zetu.Mambo yametoka kwenye chama na urais sahivi vita inaingia kwenye ubunge....na ile nafasi inategemea sana hio nafasi ya ubunge
Huyo kete yake ilikua January na kundi lake na walishaliwa vichwa kwa sasa watu wamebakiza tu ile heshima kwa nafasi aliyoshikilia sema bado wana zile illusions kwamba bado kwenye chama wana nguvu,,,,wangekua na hio nguvu na kuheshimika wale jamaa wasingeliwa vichwa...........kwenye yale makundi kila upande una advantage yake, kuna ambao ni wazuri kwenye propaganda, kuna ambao wana machawa wengi.,,, kuna wale ambao ni wazee wa kazi hamna kelele nyingi...na hao wote wanahitajika ili October hapo uwepo ushindi , kwahio kwa sasa lazima mkuu acheze karata zake vizuri chama asikigawanye ndo maana kila mmoja anapoozwa kwa namna yake,,,kwa sasa watu wanaona kama Sukuma wamepigwa chini, wanasahau jamaa wanajivuniaga idadi yao nchini na hizo ni kura ,kwahio hata bila kupiga kelele hao jamaa lazima uwaweke mezani huwezi kuwatengaHuyu mzee mimi simuamini kabisa,nadhani anasumbua sana tawala zetu.
Na sukuma gang hawafai kudharau maana watu wenye visasi ni hatari sana.Ila kumtegemea January ni ukosefu wa maarifa.Hata nguo huwa na brand.Sasa unamtegemeaje january?Huyo kete yake ilikua January na kundi lake na walishaliwa vichwa kwa sasa watu wamebakiza tu ile heshima kwa nafasi aliyoshikilia sema bado wana zile illusions kwamba bado kwenye chama wana nguvu,,,,wangekua na hio nguvu na kuheshimika wale jamaa wasingeliwa vichwa...........kwenye yale makundi kila upande una advantage yake, kuna ambao ni wazuri kwenye propaganda, kuna ambao wana machawa wengi.,,, kuna wale ambao ni wazee wa kazi hamna kelele nyingi...na hao wote wanahitajika ili October hapo uwepo ushindi , kwahio kwa sasa lazima mkuu acheze karata zake vizuri chama asikigawanye ndo maana kila mmoja anapoozwa kwa namna yake,,,kwa sasa watu wanaona kama Sukuma wamepigwa chini, wanasahau jamaa wanajivuniaga idadi yao nchini na hizo ni kura ,kwahio hata bila kupiga kelele hao jamaa lazima uwaweke mezani huwezi kuwatenga