Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 7,093
- 10,469
Katiba ya CCM imekataza Azimio kama hilo kwenye zoezi la kutafuta mgombea wa urais.
Wamelazimisha tu kwa sababu hatuna utamaduni wa kuheshimu katiba.
isitoshe jamaa anaonekana hivyo kwa sababu hana limit how far he can go na hiyo ni tofauti kubwa na viongozi wengine ambao wanajua limit yao na ku let go, lkn pia type hizo ni self destructive na muda si mrefu itafikia ukomo …