RESILIENT KATO
JF-Expert Member
- Aug 21, 2024
- 1,472
- 2,766
Wengi Huwa wanajua nchimbi ni team lowasa kumbe team kitengo wa ku neutralize effect ya mpasuko kipindi kile!!Usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Wewe unadhani Nchimbi alikuwa timu Edo kutoka Moyoni? Mambo mengine mazito wewe kuelewa.
Nchimbi ni kete ile!na ilitakiwa ikae pale badala ya Mpango basi tu mama akaiona akahepa mtego!
Ngoja nione!