Kwa Yanayoendelea Jeshi la Polisi, “Tume ya Haki Jinai” Ilikuwa ni Matumizi Mabaya ya Fedha Zetu

Kwa Yanayoendelea Jeshi la Polisi, “Tume ya Haki Jinai” Ilikuwa ni Matumizi Mabaya ya Fedha Zetu

Stuxnet

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2011
Posts
13,417
Reaction score
23,310
Ni wazi pesa za wananchi zimetumika kwenye Tume hii ya Mh Jaji Mkuu mstaafu Othman Chande hivyo wananchi tungetamani kuona matokeo chanya ya utekelezaji. Wakuu wa Mikoa na Wilaya, Makamanda wa Polisi Mikoa na Wilaya na Taasisi zote zinapaswa kuzingatia maelekezo ya Rais ambaye ni Mkuu wa Nchi kuhusu utekelezaji wa mikakati na mbinu iliyoibuliwa kwenye mipango hii.

Lakini kwa masuala haya yaliyotokea ndani ya Jeshi la polisi kwa mwaka 2023/ 24, ni kama vile Jeshi la Polisi linamkwamisha Rais Samia kwa makusudi.

Mifano michache hii hapa:-
1. Kutekwa kwa kijana Sativa na kutupwa mbuga ya Katavi
Screenshot_20240819_094942_X.jpg

2. Kushikiliwa kwa kijana Kombo wa Tanga kwa siku 29 bila mashtaka
Screenshot_20240819_094522_X.jpg

3. Kubakwa na kulawitiwa kwa binti wa Yombo na wanajeshi 5. Halafu RPC Mallya badala ya kupeleka Mahakamani yeye anadai binti alikuwa anajiuza
IMG-20240819-WA0002.jpg


Kama Rais Samia hatochukua mabadiliko dhidi ya Jeshi la Polisi basi ametumia fedha za walipa kodi vibaya.
 
Ni wazi pesa za wananchi zimetumika kwenye Tume hii ya Mh Jaji Mkuu mstaafu Othman Chande hivyo wananchi tungetamani kuona matokeo chanya ya utekelezaji. Wakuu wa Mikoa na Wilaya, Makamanda wa Polisi Mikoa na Wilaya na Taasisi zote zinapaswa kuzingatia maelekezo ya Rais ambaye ni Mkuu wa Nchi kuhusu utekelezaji wa mikakati na mbinu iliyoibuliwa kwenye mipango hii.

Lakini kwa masuala haya yaliyotokea ndani ya Jeshi la polisi kwa mwaka 2023/ 24, ni kama vile Jeshi la Polisi linamkwamisha Rais Samia kwa makusudi.

Mifano michache hii hapa:-
1. Kutekwa kwa kijana Sativa na kutupwa mbuga ya Katavi
View attachment 3073811
2. Kushikiliwa kwa kijana Kombo wa Tanga kwa siku 29 bila mashtaka
View attachment 3073810
3. Kubakwa nakukawitiwa kwa binti wa Yombo na wanajeshi 5. Halafu RPC Mallya badala ya kupeleka Mahakamani yeye anadai binti alikuwa anajiuza
View attachment 3073806

Kama Rais Samia hatochukua mabadiliko dhidi ya Jeshi la Polisi basi ametumia fedha za walipa kodi vibaya.
Kwa kweli nimeshangazwa sana na kauli hiyo ya RPC wa Mkoa wa Dodoma

Hivi inawezekanaje RPC, ambaye tunaamini kuwa ni mbobezi wa taaluma ya sheria, atamke hadharani kuwa yule Binti aliyelawitiwa, ilikuwa halali yake Kwa kuwa Binti huyo ni changudoa??

Hivi hata kama angekuwa changudoa, ndiyo RPC ahalslishe Binti huyo kulawitiwa na vijana 5 mfululizo??

Hakika watanzania wanyonge, hivi sasa hatuna haki tena, mbele ya serikali hii dhdlimu ya CCM! 😎
 
Ilikuwa ni publicity stunt ili wafadhiki waone tuna nia kweli ya kurekebisha lakini moyoni hakuna nia.

Hata yale maigizo ya kuchanja chanjo mnazi mmoja yalikuwa for the camera ili.fedha zije za kupambana na covid
Naona RPC Theopista Mallya aliyehusika na kusema binti aliyebakwa alikuwa anajiuza,awshatumbiwa tayari. Asante kwa NGUVU YA SOCIAL MEDIA, JF ikiwa mojawapo
IMG-20240819-WA0021.jpg
 
Ni wazi pesa za wananchi zimetumika kwenye Tume hii ya Mh Jaji Mkuu mstaafu Othman Chande hivyo wananchi tungetamani kuona matokeo chanya ya utekelezaji. Wakuu wa Mikoa na Wilaya, Makamanda wa Polisi Mikoa na Wilaya na Taasisi zote zinapaswa kuzingatia maelekezo ya Rais ambaye ni Mkuu wa Nchi kuhusu utekelezaji wa mikakati na mbinu iliyoibuliwa kwenye mipango hii.

Lakini kwa masuala haya yaliyotokea ndani ya Jeshi la polisi kwa mwaka 2023/ 24, ni kama vile Jeshi la Polisi linamkwamisha Rais Samia kwa makusudi.

Mifano michache hii hapa:-
1. Kutekwa kwa kijana Sativa na kutupwa mbuga ya Katavi
View attachment 3073811
2. Kushikiliwa kwa kijana Kombo wa Tanga kwa siku 29 bila mashtaka
View attachment 3073810
3. Kubakwa nakukawitiwa kwa binti wa Yombo na wanajeshi 5. Halafu RPC Mallya badala ya kupeleka Mahakamani yeye anadai binti alikuwa anajiuza
View attachment 3073806

Kama Rais Samia hatochukua mabadiliko dhidi ya Jeshi la Polisi basi ametumia fedha za walipa kodi vibaya.
Mmmmh !
Kazi ipo 😳
 
Taifa si pori wala chaka....

Taifa ni imani isiyotetereka....

Uchamungu ni kuithamini ARDHI MAMA ,WATU WAKE NA KUZILINDA HESHIMA ZAO.....

Imani kuu takatifu ya pili :

"Binadamu wote ni sawa na kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake ".

#Nchi Kwanza[emoji7]
#Taifa Kwanza[emoji7]
#JMT milele [emoji7]
 
Kwa kweli nimeshangazwa sana na kauli hiyo ya RPC wa Mkoa wa Dodoma

Hivi inawezekanaje RPC, ambaye tunaamini kuwa ni mbobezi wa taaluma ya sheria, atamke hadharani kuwa yule Binti aliyelawitiwa, ilikuwa halali yake Kwa kuwa Binti huyo ni changudoa??

Hivi hata kama angekuwa changudoa, ndiyo RPC ahalslishe Binti huyo kulawitiwa na vijana 5 mfululizo??

Hakika watanzania wanyonge, hivi sasa hatuna haki tena, mbele ya serikali hii dhdlimu ya CCM! 😎
RPC ni mtaaluma wa Sheria Gani(unamanisha GPO) au Sheria gani
 
Ni wazi pesa za wananchi zimetumika kwenye Tume hii ya Mh Jaji Mkuu mstaafu Othman Chande hivyo wananchi tungetamani kuona matokeo chanya ya utekelezaji. Wakuu wa Mikoa na Wilaya, Makamanda wa Polisi Mikoa na Wilaya na Taasisi zote zinapaswa kuzingatia maelekezo ya Rais ambaye ni Mkuu wa Nchi kuhusu utekelezaji wa mikakati na mbinu iliyoibuliwa kwenye mipango hii.

Lakini kwa masuala haya yaliyotokea ndani ya Jeshi la polisi kwa mwaka 2023/ 24, ni kama vile Jeshi la Polisi linamkwamisha Rais Samia kwa makusudi.

Mifano michache hii hapa:-
1. Kutekwa kwa kijana Sativa na kutupwa mbuga ya Katavi
View attachment 3073811
2. Kushikiliwa kwa kijana Kombo wa Tanga kwa siku 29 bila mashtaka
View attachment 3073810
3. Kubakwa nakukawitiwa kwa binti wa Yombo na wanajeshi 5. Halafu RPC Mallya badala ya kupeleka Mahakamani yeye anadai binti alikuwa anajiuza
View attachment 3073806

Kama Rais Samia hatochukua mabadiliko dhidi ya Jeshi la Polisi basi ametumia fedha za walipa kodi vibaya.
Haitokaa kamwe IGP kuwajibika kwa sababu polisi ndo wamebeba gurufu ya ushindi wetu CCM kwenye chaguzi zote.

Polisi haitokaa ikubaliane na michakato ya kidemokrasia kwa sababu michezo na mienendo yao ya kihalifu inapewa chapuo na CCM
 
Haitokaa kamwe IGP kuwajibika kwa sababu polisi ndo wamebeba gurufu ya ushindi wetu CCM kwenye chaguzi zote.

Polisi haitokaa ikubaliane na michakato ya kidemokrasia kwa sababu michezo na mienendo yao ya kihalifu inapewa chapuo na CCM
I fully agree, leo hii Mh Rais @SuluhuSamia yupo Katika Tamasha la #kizimkazi halafu all the media and social platforms wanaongelea kutokuwa makini kwa Jeshi la Polisi. Kauli ndogo ndogo zinaua ustawi wa jamii yetu na kurudisha nyuma Juhudi za Serikali.
 
Hivi hata kama angekuwa changudoa, ndiyo RPC ahalslishe Binti huyo kulawitiwa na vijana 5 mfululizo??
Liwati ni kosa kisheria katika Nchi hii hata kwa Consent lakini threesome ya MFF sidhani kama ni kosa.
 
I fully agree, leo hii Mh Rais @SuluhuSamia yupo Katika Tamasha la #kizimkazi halafu all the media and social platforms wanaongelea kutokuwa makini kwa Jeshi la Polisi. Kauli ndogo ndogo zinaua ustawi wa jamii yetu na kurudisha nyuma Juhudi za Serikali.
Nilishayatabiri haya kwa sababu niliyaona kwa macho.miaka 2 nyuma...


Bado kuna mengine yanakuja.
 
Kajisemea lissu tatizo ni.mfumo na sio polisi. Hata akienda malaika itabidi ageuke shetani na kufuata chain of command na SOPs.
Wakati mama anaingia na falsafa zake na uteuzi wake wa kamanda wambura nilijua kutakuwa na major reforms in the police force..yawezekana bajeti labda ndogo ya kuwezesha reforms
 
Back
Top Bottom