Kwa yanayoendelea ni wazi kuwa kuna watu wanamhujumu Rais Samia. Hatua za haraka zichukuliwe kuwadhibiti

Walitumbuliwa wangapi tanesco na hali ikabaki vile vile? Tatizo la umeme ni collective, sio mtu mmoja mmoja. Hiyo kauli ya mgao utakoma siku yoyote, ni kuwa hawana uhakika wa tatizo kuisha lini. Zile mwezi fulani ndio tatizo litaisha zikome
 
Acha kuangushia watu matatizo ya mwingine!
 
Hakuna hujuma, wameshindwa kuendesha nchi.
Wapishe wanaoweza.
 
Huu ni utovu wa nidhamu.
Kwa hiyo wew wa kumwambia mama kipi cha kufanya au? Tumuache mama apige kazi.
 
Timu inapoboronga anafukuzwa kocha. Samia kafeli kazi.
 
Huu ni utovu wa nidhamu.
Kwa hiyo wew wa kumwambia mama kipi cha kufanya au? Tumuache mama apige kazi.
Wewe mpumbavu elewa haya ni maoni na hakuna sehemu nimemuamrisha mama. Wewe ndo mhujumu namba moja. Unaona mambo hayako sawa halafu unanyamaza.
 
Hana mda endelea kuwa chawa wake mama NI mzee wa kuchoma mawingu habari za wananchi watajijuwa wenyewe
 
Siyo kuiba bali kupora. Hawana mbinu ya kuiba tena. Kilichobaki ni kutumia mtutu wa bunduki.
 
Katika uzwmbe wowote wa kulaumiwa ni rais, inaonywsha hafuatilii anasubiria taarifa ofisini.

Anasafiri kila siku atafuatilia lini?

Nyani Ngabu ametoka kuuliza manufaa ya safari zake
 
Na yeye ndo anateua hao watu, anahujumiwa vipi? 🀣🀣🀣


2025 kijani mtasema maneno yote
 
Nakazia
 
Yule naibu waziri mkuu, na hivi vyeo sjui wanapeana peana vipi , amesema kwamba ni ngumu kusema mgao utaisha lini , na kumbuka pia huyu ni waziri wa nishati
 
Yule naibu waziri mkuu, na hivi vyeo sjui wanapeana peana vipi , amesema kwamba ni ngumu kusema mgao utaisha lini , na kumbuka pia huyu ni waziri wa nishati
Mwananchi wameonba radhi walinukuu vibaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…