Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Aibu kubwa snBaada ya kutoka madarakani atakaa sebleni kwake huku akiandika kitabu kwamba aliwakosea sana watanzania, inabidi ifike kipindi iandikwe katiba mpya kwamba yoyote atakayefuja mali za nchi anyongwe.