Kumbe hali raha tena ?Mbona Mbowe alipoteza Dada na Kaka kabla hta JPM hajafariki...... Mwanaye na yeye mwenyewe waliugua Covid hta JPM akiwa hai. Sasa karma inakujaje hapo?? Aliporwa mali zote na kufilisiwa zaidi ya 2 Billion worth of assets and market value! Yote haya kipindi JPM yupo!!
Huwezi mkamata mtu alafu unasema Karma..... Hyo Karma huja naturally mfano angepata mapigo bila mkono wa mtu, hapo ningekubali hoja yako.
Mbowe alishafungwa miezi 6 enzi za JPM so hakuna jipya hapa zaidi ya muendelezo wa udikteta.
Ndiyo maana ya karma.Ni lini kigogo alikua CHADEMA? Tuwe wakweli toka JPM aondoke kigogo hana tena informants wa maana so alishakosa relevance angefuta tu account maana mission accomplished!!
Sasa kuendelea kuwa relevant akajiweka upinzani but to be honest hakuwa na data tena so he was a liability. Na hata ssa bila vita na CHADEMA alikua na ajenda gani mpya???
He's faded and thus should be ignored once and for all.
Hata kabla ya Magu kufariki alikuwa anatoa data gani za maana za kuitingisha selikali?Ni lini kigogo alikua CHADEMA? Tuwe wakweli toka JPM aondoke kigogo hana tena informants wa maana so alishakosa relevance angefuta tu account maana mission accomplished!!
Sasa kuendelea kuwa relevant akajiweka upinzani but to be honest hakuwa na data tena so he was a liability. Na hata ssa bila vita na CHADEMA alikua na ajenda gani mpya???
He's faded and thus should be ignored once and for all.
you cant ignore him kwa sababu ndo alikua kioo chenu! mada nyingi mlikua mnamsukumia yeye! mlikua wap kabla kusema sio mwenzetu wakati anawafunika?Ni lini kigogo alikua CHADEMA? Tuwe wakweli toka JPM aondoke kigogo hana tena informants wa maana so alishakosa relevance angefuta tu account maana mission accomplished!!
Sasa kuendelea kuwa relevant akajiweka upinzani but to be honest hakuwa na data tena so he was a liability. Na hata ssa bila vita na CHADEMA alikua na ajenda gani mpya???
He's faded and thus should be ignored once and for all.
Karma day was 17 March 2021.Wahenga wakishasema wamesema na ukipuuzia waliyoyaonya utakiona cha mtema kuni hapahapa duniani.
Baada ya Rais wa awamu ya tano Magufuli kufariki dunia Chadema wakiongozwa na Mbowe, Lissu na Kigogo walishangilia sana hadharani bila kuona aibu kabisa.
Walisema sasa watakuwa huru na watatajirika na kula raha sana hapa Tanzania.
Leo Magufuli hayupo lakini Mbowe yuko jela kwa siku 35 sasa.
Leo Magufuli hayupo lakini mbowe tayari ameshapoteza ndugu zake kadhaa kwa ugonjwa Corona.
Leo Magufuli hayupo lakini chadema imeendelea kupoteza mvuto kwa wananchi, kila wanapoitisha maandamano hamna anayetokea.
Leo Magufuli hayupo lakini sasa Chadema na Kigogo hawaelewani tena. Kwa mjibu wa kigogo chadema ya sasa ni intarahamwe( kikundi cha magaidi na wauaji wakubwa).
Shida ya watu wa ccm akili finyuuuu, yaani hadi huruma. Hivi inakuwaje mtu akiwa ccm anakuwa hana hoja? Mwangalie Bashiru Ali. Kuna uzi humu anaonekana akijenga hoja kali sana kuhusu Katiba Mpya. Lakini baada tu ya kuwa kiongozi ccm, akili zooote zilimtokea masikioni na puani. Hizoooo zikayeyuka. Leo hii Bashiru ni kama debe tupu. Naweza kusema hayo pia kwa Kabudi, na wengine wengi tu.Wahenga wakishasema wamesema na ukipuuzia waliyoyaonya utakiona cha mtema kuni hapahapa duniani.
Baada ya Rais wa awamu ya tano Magufuli kufariki dunia Chadema wakiongozwa na Mbowe, Lissu na Kigogo walishangilia sana hadharani bila kuona aibu kabisa.
Walisema sasa watakuwa huru na watatajirika na kula raha sana hapa Tanzania.
Leo Magufuli hayupo lakini Mbowe yuko jela kwa siku 35 sasa.
Leo Magufuli hayupo lakini mbowe tayari ameshapoteza ndugu zake kadhaa kwa ugonjwa Corona.
Leo Magufuli hayupo lakini chadema imeendelea kupoteza mvuto kwa wananchi, kila wanapoitisha maandamano hamna anayetokea.
Leo Magufuli hayupo lakini sasa Chadema na Kigogo hawaelewani tena. Kwa mjibu wa kigogo chadema ya sasa ni intarahamwe( kikundi cha magaidi na wauaji wakubwa).
Hamna chadema sasa hiviShida ya watu wa ccm akili finyuuuu, yaani hadi huruma. Hivi inakuwaje mtu akiwa ccm anakuwa hana hoja? Mwangalie Bashiru Ali. Kuna uzi humu anaonekana akijenga hoja kali sana kuhusu Katiba Mpya. Lakini baada tu ya kuwa kiongozi ccm, akili zooote zilimtokea masikioni na puani. Hizoooo zikayeyuka. Leo hii Bashiru ni kama debe tupu. Naweza kusema hayo pia kwa Kabudi, na wengine wengi tu.
Habari ya CHADEMA, siyo kudorora tu, bali kufa kabisa, imetabiriwa mara nyingi sana na watu wengi tu, kina Steven Wassira, na wengine. Leo Wassira hata hajulikani aliko.
Mzee Meko mwenyewe alijitwisha jukumu la kuiua kabisa siyo CHADEMA tu, bali vyama vyoooote vya upinzani, lakini aliilenga zaidi CHADEMA, maana si ndio baba lao?
Na Meko Magufuli alitumiagharama, nguvu, muda, mbinu na mikakati mbalimbali , aliyoijua yeye, na aliyofunzwa na akina Museveni, Kagame na wengineo. Ilifikia wakati watu tukaamini kweli Magu kafaulu.
Alipokuja Lissu, Meko alimwacha azungumze atakavyo, akijua baada ya pini ya miaka 5, viongozi wakipishana mahakamani na magerezani. Wengi wao wakichomolewa na kuingizwa ccm kwa ahadi za fedha na vyeo. Viburi wakipotezwa, kuuwawa. Yote hayo yakitokea, TV zote, magazeti yote yakimpamba mzee Meko na "maajabu" aliyoifanyia Tanzania, akajua Lissu wala hafiki popote. Na kwa kibri, Meko alidiriki kuahidi jwa Mabalozi UCHAGUZI HURU NA WA HAKI. Weee, moto wa Lissu ulipoanza kuchanganya, ikabidi waanze kumpiga pini. Uchaguzi ukavurugwa kupita viwango vyoote.
Moto wa CHADEMA kuhusu Katiba Mpya unewafanya serikali ya ccm wampige kesi la ugaidi, ili akae gerezani. Hawana hoja za kumjibu. Huo ndio upofu wa ccm. Hawajui kujibu hoja, wao ni kufunga watu tu. Wasichojua ccm ni kwamba jinsi Mbowe atakavyozidi kukaa gerezani, ndivyo atazidi kuwa kaa la moto, hadi watamtema. Itakuwa hadithi ya:
Uchimeje, Uchimung'unye, uchiteme. Ukitema Nchale. Ukimung'unya Nchale, Ukimeja Nchale.
Karma? Itawaachaje ccm? Wezi, wala rushwa, watekaji, wauaji? Na kwa kweli Karma ilianza naMeko mwenyewe, aliyeitangazia CHADEMA kiama. Na sasa tunaona serikali ya ccm vipande vipande. Mara gazeti la Uhuru liandike hivi. Mara Gwajima Askofu aseme vile, mara aibuke Gwajima waziri anadai mumewe katesti mitambo ya mkewe, kama siyo Karma, ni nini hiyo?
Achana na hao wanao subiri filimbi ipogwe ndio waanze kucheza japo mwenzao kaanza kuchezabila kungoja filimbi... ni lini Mbowe alishangilia kifo cha Magufuli?
Kwa hoja zipi?Hamna chadema sasa hivi
Kigogo muhuni mmoja tu, nilimdharau sana huyu bwana baada ya kuwataka CDM eti wafanye uasi msituni - useless kabisa. Siasa za miaka ya 80 za kina Marehemu Savimbi unazileta leo 21 kizazi cha digital.Ni lini kigogo alikua CHADEMA?
Itisha maandamano ya chadema ndiyo utaelewa kama ina mvuto au haina mvutoIvi ukisema CHADEMA imepoteza mvuto huwa mna maanisha nini? upinza upo moyoni mwa mtu na chadema sio mbowe wangapi wameondoka chadema ila upinzani bado, kabla hamjaandika fanyeni utafiti
Kama kipimo chako maandamano hongera hapo unaona umemaliza kila kitu.Itisha maandamano ya chadema ndiyo utaelewa kama ina mvuto au haina mvuto
HASWAAA INAWARUDI KWELIKWELI RANGI ZOTE WATAONA MWAKA HUUWahenga wakishasema wamesema na ukipuuzia waliyoyaonya utakiona cha mtema kuni hapahapa duniani.
Baada ya Rais wa awamu ya tano Magufuli kufariki dunia Chadema wakiongozwa na Mbowe, Lissu na Kigogo walishangilia sana hadharani bila kuona aibu kabisa.
Walisema sasa watakuwa huru na watatajirika na kula raha sana hapa Tanzania.
Leo Magufuli hayupo lakini Mbowe yuko jela kwa siku 35 sasa.
Leo Magufuli hayupo lakini mbowe tayari ameshapoteza ndugu zake kadhaa kwa ugonjwa Corona.
Leo Magufuli hayupo lakini chadema imeendelea kupoteza mvuto kwa wananchi, kila wanapoitisha maandamano hamna anayetokea.
Leo Magufuli hayupo lakini sasa Chadema na Kigogo hawaelewani tena. Kwa mjibu wa kigogo chadema ya sasa ni intarahamwe( kikundi cha magaidi na wauaji wakubwa).
Hata iwe hivyo lakini chadema ni wasaliti wa taifaKama kipimo chako maandamano hongera hapo unaona umemaliza kila kitu.
CCM sijui akili zenu huwa mnacha wapi mtu kupinga kitu haimaanishi yupo kinyume na wewe, sometime watu tunapinga sio kwa sababu tupo upinzani (mimi sina chama ila sitaka kaa kuwa CCM). Tunapinga kwa sababu hatujui mnatupeleka wapi. inawezekana unabwabwaja hapa hauna kazi na ni-graduate na mchana waleo umepiga pasi ndefu. kama sio wewe jamii unapo toka hawana kazi, uwe na fikili kabla ya kuandika