Hata kabla ya Magu kufariki alikuwa anatoa data gani za maana za kuitingisha selikali?
Mimi nilikuwa naona anatukana hovyo tu huku mashabiki wa chadema wakishangilia na kumpamba kwa maneno kwamba ndio mpiganaji wao.
Juzi kina Malisa na wenzake wapatao 800 akiwemo Lema na msigwa waliandaa kongamano huko clubhouse la kumjadili kigogo kwamba kwanini amawageuka! [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hivi anawaita intarharamwe,
Yani kigogo wa leo ndio wa kutoa coments kama hizi! [emoji116]
View attachment 1907725