Kwa yanayowatokea CHADEMA, Karma is real hapa duniani

SAFI SANA KIGOGO WAAMBIE UKWELI HAO LISSU NA MBOWE NJAA
 
Si ni bora aliepo mahabusu kwa siku 35 kuliko alieko futi sita chini ya ardhi akiwa ni mifupa tu?
 
Ndio maana Mzee Ulimwengu kasema MiCCM iko milioni nane Ila Wana mawazo matatu tu😂😂😂eti Chadema haina mvuto wakati mnawapiga na kuwafunga daily..ije katiba mpya "usubuhi" MiCCM chaliii mbona hamtaki shwain nyie
 
Anakupa hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…