SINGLE WINDOW
JF-Expert Member
- Sep 2, 2021
- 356
- 278
SAFI SANA KIGOGO WAAMBIE UKWELI HAO LISSU NA MBOWE NJAAHata kabla ya Magu kufariki alikuwa anatoa data gani za maana za kuitingisha selikali?
Mimi nilikuwa naona anatukana hovyo tu huku mashabiki wa chadema wakishangilia na kumpamba kwa maneno kwamba ndio mpiganaji wao.
Juzi kina Malisa na wenzake wapatao 800 akiwemo Lema na msigwa waliandaa kongamano huko clubhouse la kumjadili kigogo kwamba kwanini amawageuka! [emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa hivi anawaita intarharamwe,
Yani kigogo wa leo ndio wa kutoa coments kama hizi! [emoji116]View attachment 1907725
Usijifanye hufahamu. Imelaaniwa chadema kwa kitendo kile.... ni lini Mbowe alishangilia kifo cha Magufuli?
ItafahamikaMbowe sio Gaidi
Si ni bora aliepo mahabusu kwa siku 35 kuliko alieko futi sita chini ya ardhi akiwa ni mifupa tu?Wahenga wakishasema wamesema na ukipuuzia waliyoyaonya utakiona cha mtema kuni hapahapa duniani.
Baada ya Rais wa awamu ya tano Magufuli kufariki dunia Chadema wakiongozwa na Mbowe, Lissu na Kigogo walishangilia sana hadharani bila kuona aibu kabisa.
Walisema sasa watakuwa huru na watatajirika na kula raha sana hapa Tanzania.
Leo Magufuli hayupo lakini Mbowe yuko jela kwa siku 35 sasa.
Leo Magufuli hayupo lakini mbowe tayari ameshapoteza ndugu zake kadhaa kwa ugonjwa Corona.
Leo Magufuli hayupo lakini chadema imeendelea kupoteza mvuto kwa wananchi, kila wanapoitisha maandamano hamna anayetokea.
Leo Magufuli hayupo lakini sasa Chadema na Kigogo hawaelewani tena. Kwa mjibu wa kigogo chadema ya sasa ni intarahamwe( kikundi cha magaidi na wauaji wakubwa).
August 25 to September 21, tunasubiri video jamaa?Nakuletea video
Alikuwa anawatetea chademaKwani kigogo alikuwa mwanachama wa CHADEMA?
Kwanini alikuwa anawatetea CHADEMA?Alikuwa anawatetea chadema
Alikuwa anawaona ndio wakombozi wakeKwanini alikuwa anawatetea CHADEMA?
Wamkomboe kutoka wapi ?Alikuwa anawaona ndio wakombozi wake
Kwa mujibu wake Lisu na chadema nzima wangemletea hela mfukoniWamkomboe kutoka wapi ?
Je sasa hivi wameshamletea hizo hela mfukoni au bado ?Kwa mujibu wake Lisu na chadema nzima wangemletea hela mfukoni
Amewaona watapeli ndio maana kawageukaJe sasa hivi wameshamletea hizo hela mfukoni au bado ?
Kwani lengo la CHADEMA ni kupelekea hela watu mifukoni ?Kwa mujibu wake Lisu na chadema nzima wangemletea hela mfukoni
Kawageuka kaenda wapi ?Amewaona watapeli ndio maana kawageuka
Anakupa hiiWahenga wakishasema wamesema na ukipuuzia waliyoyaonya utakiona cha mtema kuni hapahapa duniani.
Baada ya Rais wa awamu ya tano Magufuli kufariki dunia Chadema wakiongozwa na Mbowe, Lissu na Kigogo walishangilia sana hadharani bila kuona aibu kabisa.
Walisema sasa watakuwa huru na watatajirika na kula raha sana hapa Tanzania.
Leo Magufuli hayupo lakini Mbowe yuko jela kwa siku 35 sasa.
Leo Magufuli hayupo lakini mbowe tayari ameshapoteza ndugu zake kadhaa kwa ugonjwa Corona.
Leo Magufuli hayupo lakini chadema imeendelea kupoteza mvuto kwa wananchi, kila wanapoitisha maandamano hamna anayetokea.
Leo Magufuli hayupo lakini sasa Chadema na Kigogo hawaelewani tena. Kwa mjibu wa kigogo chadema ya sasa ni intarahamwe( kikundi cha magaidi na wauaji wakubwa).
Hawasapoti tenaKawageuka kaenda wapi ?