majoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 2,595
- 4,775
Hakuna aliye mkamilifu duniani zari alimwacha mumewe akakimbilia kwa Dai akidhani huko ndio kuna nafuu lazima tuelewe kila binadamu ana mapungufu ingawa yanatofautiana jifunze kutorudia kosa.
Kila mtenda hutendwa hili liko wazi ona Ivan alivyotendwa na kuumia alipoachwa na Zari leo zamu ya Zari kuumia tena ameumizwa zaidi maana amezalishwa na bado amebwagwa.
Hii haimpi Dai unafuu wowote lazima naye atatendwa na atadhalilishwa na kupelekwa mahakamani na guilty haitaisha moyoni mwake.
Matumizi ya mtandao, hili limekuwa janga sasa mtandaoni sio mahali pa kuanika mapungufu ya ndoa/mahusiano yako na sio mahali pa kuwaringishia watu kiben10 chako.
Usitupie picha zako mapenzi watu waone unapendwa na unapigwa denda vizuri fikiria zile picha za Dai na Zari za kushikana shikana leo zina thamani gani kwao yale matambo kwa snap-chat leo yanageuka kukuzomea.
Wadau toeni mafunzo hapa ili mambo yasiharibike kwa wengine bali wajifunze.
Kila mtenda hutendwa hili liko wazi ona Ivan alivyotendwa na kuumia alipoachwa na Zari leo zamu ya Zari kuumia tena ameumizwa zaidi maana amezalishwa na bado amebwagwa.
Hii haimpi Dai unafuu wowote lazima naye atatendwa na atadhalilishwa na kupelekwa mahakamani na guilty haitaisha moyoni mwake.
Matumizi ya mtandao, hili limekuwa janga sasa mtandaoni sio mahali pa kuanika mapungufu ya ndoa/mahusiano yako na sio mahali pa kuwaringishia watu kiben10 chako.
Usitupie picha zako mapenzi watu waone unapendwa na unapigwa denda vizuri fikiria zile picha za Dai na Zari za kushikana shikana leo zina thamani gani kwao yale matambo kwa snap-chat leo yanageuka kukuzomea.
Wadau toeni mafunzo hapa ili mambo yasiharibike kwa wengine bali wajifunze.