Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
😂😂😂mnafika pale.full hangover..ninakuja huko aiseeYeah.
Tunakula bata jioni, asubuhi nakusindikiza hospitali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂mnafika pale.full hangover..ninakuja huko aiseeYeah.
Tunakula bata jioni, asubuhi nakusindikiza hospitali
Asante sana mkuu.
Napenda samaki.
Vp mnadani kunapatikana samaki?
Dah.
Ila viwanja vinavyouzwa samaki vipo.
Unanitamanisha....
Asante sana samuel faraj.Karibu iringa [emoji58]
Humu nina mawifi kibao.Na wewe ni wifi yako? Kwa kaka yako au kaka yake
Kama unapenda music uwe unaenda Rainbow Malaika Na Weekend royal villageWala sipafahamu.
Nahisi nikianza kuzurura nitapafahamu sehemu za bata kwa usaidizi wako.
Ni hotel yenye club maana mie kwa muziki, ni balaaaa
Ndio aaaah kweli safar za moto nilimsikia anasema za shingo nene[emoji23][emoji23]Tena safari za moto.
Hahhahahahah
Rainbow nilikuwa jana.Kama unapenda music uwe unaenda Rainbow Malaika Na Weekend royal village
Hata karibuuu[emoji23][emoji23]