Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
Battle ya Sugu na Tulia kali sana, na kwa trend ya politics ambayo tunaenda nayo sasa namuona kabisa Tulia ana wakati mgumu!! Ngoja tuone hizo tarehe 21 (Uzinduzi mikutano ya CDM) na tarehe 25 (Ujio wa TAL) utaleta niniUpo sahihi sana ila sema tu baadhi ya watu bado wapo kwenye njozi za Magufuli kuwa kila uchaguzi ni lazima ccm ishinde.