Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo hekaya za Abunuasi kawaambie wezako kina KigwangalaNarudi tuu kukwambia ,zama za hadithi zimepita tunataka matokeo..
Uje umuulize Sugu kwamba akuoneshe Cha maana alifanya Kwa miaka 10 ya ubunge wake hapo mbeya then ulinganishe na Miaka 5 ya Tulia..
Ukabila peleka kwenu
😳mzee!?.....we kaka mi ni Mdada aisee....naona unazidi kuni...🙉🙌Mbona babu ni neno la kawaida sana mzee?
Hekaya au siyo? Ngoja tuone mtakavyomtoa spika 2025 basi.Hizo hekaya za Abunuasi kawaambie wezako kina Kigwangala
Sugu atagalagazwa na Tulia kama ngumi ya sugunyo! Sugu ajiandae kama wanyoni! Zaidi endeleaPole wewe ambaye hujui kuwa kwa sasa Tanzania tupo karne ya 21
Labda mchane mbeleko ya kijani aliyobebewaNamaanisha kuwa tulipatiwa mbunge ambaye halikuwa chaguo letu sisi wana Mbeya.
Sasa wakati umefika wa wana Mbeya kuonyesha hasira zetu kwa kumchagua mbunge ambaye atakuwa ni chaguo letu mh Sugu.
Nyie ndio muwaelimishe ili wajitambueMafuriko yaliyotokea uyole ya kati hapa,waathirika wote wa mafuriko wamepewa mahindi debe mbili mbili na godoro foot 2 na huyu Tulia...sasa wapiga kura ndo hawahawa maskini....sa itakuwaje? Sijui labda
😳tuwaelimisheje na uchumi huu mkuuNyie ndio muwaelimishe ili wajitambue
Mm ninapomkuta mtu analalamika maisha magumu,huwa namwuuliza ww si huwa unasema siasa haikuhusu,pambana,siasa ndio inakupa kiongozi ataekuletea maendeleo[emoji15]tuwaelimisheje na uchumi huu mkuu
Kumbe😂Mm ninapomkuta mtu analalamika maisha magumu,huwa namwuuliza ww si huwa unasema siasa haikuhusu,pambana,siasa ndio inakupa kiongozi ataekuletea maendeleo
Kwetu ni hapa hapa Mafiati sasa nifanyejeNarudi tuu kukwambia ,zama za hadithi zimepita tunataka matokeo..
Uje umuulize Sugu kwamba akuoneshe Cha maana alifanya Kwa miaka 10 ya ubunge wake hapo mbeya then ulinganishe na Miaka 5 ya Tulia..
Ukabila peleka kwenu
Sijui kwanini Mr Two anatuma chawa wazubaifu kama weweKufuatia shughuli za siasa kuruhusiwa rasmi nchini sasa rasmi sisi wana Mbeya tumeshamuaga Tulia na kumkaribisha mh Sugu.
Namaanisha kuwa tulipatiwa mbunge ambaye halikuwa chaguo letu sisi wana Mbeya.
Sasa wakati umefika wa wana Mbeya kuonyesha hasira zetu kwa kumchagua mbunge ambaye atakuwa ni chaguo letu mh Sugu.
Tulia rudi kwenu wanako kufahamu maana hapa uliletwa kwa lazima.
Sawa hata kwenye msafara wa mamba kenge Huwa hamkosekani 😆😆Kwetu ni hapa hapa Mafiati sasa nifanyeje
Watu wengine bado wana mawazo ya karne ya 19 ya jiweKuna watu wanadai ccm haiwezi kubali spika apigwe chini na upinzani nawakumbusha Mwanza waziri wa mambo ya ndani alipigwa chini yani bosi wa mapolisi alipigwa chini sembuse huyu ambaye hana command kwa mapolisi