Kwaherini

Kwaherini

Daah sidhani kama kuna ubize wa kushindwa japo kuja kuchukua ELIMU ADHIMU jamii forum
 
Wapendwa,

Baada ya kuwa member wa muda mrefu hapa umefika wakati ni me nimeamua kujitoa, hii ni kutokana na muongezeko wa majukumu.

Hapa nimepata marafiki ambao ninaweza kusema ni wa kudumu. Hata mimi ninasikitika kuondoka lakini imekuwa vigumu kugawa muda wangu.

Kwaherini wapendwa.
Mkuu utawezaje kuendesha maisha nje ya Jamiiforums? Ukifanikiwa hilo hata kwa miezi 6 rudi utupe mrejesho, kipi kilichokuongoza hatimaye kulifanikisha hilo
 
images(1).jpg
images(2).jpg
IMG_20170524_125113.jpg
IMG_20170524_125057.jpg
 
Back
Top Bottom