GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kama Yanga SC wamekuamini kabisa ukawa Mkuu wao wa Sheria kuna mahala naona unaenda Kuharibu pakubwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuanze na wewe zile siku 14 ulizompa Mangungu zimefika ngapi leo?Kama Yanga SC wamekuamini kabisa ukawa Mkuu wao wa Sheria kuna mahala naona unaenda Kuharibu pakubwa.
Hakika Mkuu. Yaani Mwanasheria anajua Mapungufu ya Watu baada ya Mahakama kutoa Hukumu. Yanga SC wamtoe.Kazi kweli kweli
Tupe Mfano wa kesi 5 ambazo hajawahi kushindaYule jamaa hajawahi kushinda kesi yeyote.
Nawewe unamwamini? Kwanza sisi tulichotaka kujua ni kama auongozi wa hersi upo kwa mujibu wa katiba au haupo kikatiba, baasi. Hayo mapungufu ya kimchakato hayajibu kesi ya msingi.Mkuu, kesi ile imeendeshwa upande mmoja. Mbona jana kaelezea vizuri tu.
Porojo hizoMkuu, kesi ile imeendeshwa upande mmoja. Mbona jana kaelezea vizuri tu.
Na anakiaibisha mno hata Chuo Kikuu alichosomea na sidhani kama angesomea SAUT Mwanza ( The Genius University ) ambako Mzanaki na Myao Mimi GENTAMYCINE "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" nimesoma hapo angekuwa hopeless ( dunduka ) kiasi hiki.Yule jamaa hajawahi kushinda kesi yeyote.
Precisely.Hamna mwanasheria pale
Hersi kwani kawa raisi wa Yanga jana? Kwanini hii kesi iibuke sasa? Siku zote walikuwa wapi? Basi ikiwa ni kweli uongozi wa sasa haupo kisheria ina maana hata TFF hawapo makini kwa kuiacha timu inaendeshwa na viongozi waliyovunja katiba! Tuweni serious kidogo, kuna watu wanatafuta jambo na in shaa Allah watalipata.Nawewe unamwamini? Kwanza sisi tulichotaka kujua ni kama auongozi wa hersi upo kwa mujibu wa katiba au haupo kikatiba, baasi. Hayo mapungufu ya kimchakato hayajibu kesi ya msingi.
Hata mie nineshangaa.Kama Yanga SC wamekuamini kabisa ukawa Mkuu wao wa Sheria kuna mahala naona unaenda Kuharibu pakubwa.
Unataka kujua kama nani wewe koloNawewe unamwamini? Kwanza sisi tulichotaka kujua ni kama auongozi wa hersi upo kwa mujibu wa katiba au haupo kikatiba, baasi. Hayo mapungufu ya kimchakato hayajibu kesi ya msingi.
Jibuni swali la msingi. Hersi yupo kikatiba au kitapeli? over.Hersi kwani kawa raisi wa Yanga jana? Kwanini hii kesi iibuke sasa? Siku zote walikuwa wapi? Basi ikiwa ni kweli uongozi wa sasa haupo kisheria ina maana hata TFF hawapo makini kwa kuiacha timu inaendeshwa na viongozi waliyovunja katiba! Tuweni serious kidogo, kuna watu wanatafuta jambo na in shaa Allah watalipata.
Jibuni swali la msingi. Hersi yupo kikatiba au kitapeli? over.
Anakunywa chaiKama Yanga SC wamekuamini kabisa ukawa Mkuu wao wa Sheria kuna mahala naona unaenda Kuharibu pakubwa.