Kwako Babu Mpendwa 💕

Kwako Babu Mpendwa 💕

Leo ni Alhamisi alfajiri...

Nikiwa na akili zangu timamu, natumia safu hii kuutarifu uma wa JF kuwa....

Kasinde ni chombo halali ya Babu kuanzia mwezi Mei 2022.

Baada ya hicho kibwagizo sasa acha niendelee na salamu zangu kwa Babu.

Babu....

Kwanza kabisa nakupenda, najua wajua hilo.
Ulishaniambia kuwa, hili neno nakupenda nilishawaambia wengi huko nyuma ila kwako iwe ndo mwisho. Asitokee mwingine wa kumwambia hivyo hadi pale tutaporudisha namba kwa Muumba.

Butiama ndo makazi yetu mapya na huko ndo tumeamua kustaafu, najua wote (mimi na wewe) si wenyeji wa Butiama ila kwa Mahaba yaliyo kati yetu, Butiama ndo mahala tutaendelea kuzeeshana hadi pale kitapokatikia...

Hakika nakupenda asilani, umeniteka nimekuteka tumetekana.

Vile tumezungukwa na hali ya hewa ya asili, mifugo basi nasikia raha kila kuchwapo uniamshapo kunibariki na kimoko....

Sijilaumu kuchelewa kujuana na wewe ila namshukuru Maulana kwa kunipa haja ya moyo wangu.
Ni wasaaa muafaka tule pensheni zetu kwa afya, raha na maisha yetu na kuwaachia wajukuu zetu urithi maridhawa.

Najua hizi sio pigo zako, ila sikiliza sauti na maneno tuu babu yangu.



Babu, zingatia hapo, “what I feel.....”

Nakupenda Babu yangu mpenzi.

Acha nikakuandalie stafutahi 💕.

Wako mpendwa, Kasie.

NB: 1. wako wataosema kimoyomoyo kuwa na huyu ntaachana tuu.
2. Wengine bibi kilomita zinasoma ngapi
3. Huyu ndo yule wa siku zote / huyu ni mpya / huyu ni yupi.

😊 huyu anaitwa Babu wa Kasie wanaestaafu pamoja kijijini Butiama.

Alhamisi njema. 😉
 
Ahsante sana mpwa. Nikifanikiwa hakika utakuwa bestman kwenye harusi yangu na bibi wa butihama
Babu siku unakuja ukasanuka ndio unatambua kua Kasie ni wale wazee wa pwani wa magomeni mapipa wanaocheza dhumna kwenye kile kijiwe chao karibu Butiama hotel sijui utajisikiaje[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Babu siku unakuja ukasanuka ndio unatambua kua Kasie ni wale wazee wa pwani wa magomeni mapipa wanaocheza dhumna kwenye kile kijiwe chao karibu Butiama hotel sijui utajisikiaje[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uzuri nilishamwona Kasie... Ni bonge la mwanamke. Mrembo wa haja....

Hata kama nimemwona kwenye ndoto potelea mbali... Naamini atakuwa hivyo

Nikifanikiwa ntakukaribisha Butiama umwone Kasie akicheza dansi na babu

Usisahau kuniombea nifanikiwe
 
Leo ni Alhamisi alfajiri...

Nikiwa na akili zangu timamu, natumia safu hii kuutarifu uma wa JF kuwa....

Kasinde ni chombo halali ya Babu kuanzia mwezi Mei 2022.

Baada ya hicho kibwagizo sasa acha niendelee na salamu zangu kwa Babu.

Babu....

Kwanza kabisa nakupenda, najua wajua hilo.
Ulishaniambia kuwa, hili neno nakupenda nilishawaambia wengi huko nyuma ila kwako iwe ndo mwisho. Asitokee mwingine wa kumwambia hivyo hadi pale tutaporudisha namba kwa Muumba.

Butiama ndo makazi yetu mapya na huko ndo tumeamua kustaafu, najua wote (mimi na wewe) si wenyeji wa Butiama ila kwa Mahaba yaliyo kati yetu, Butiama ndo mahala tutaendelea kuzeeshana hadi pale kitapokatikia...

Hakika nakupenda asilani, umeniteka nimekuteka tumetekana.

Vile tumezungukwa na hali ya hewa ya asili, mifugo basi nasikia raha kila kuchwapo uniamshapo kunibariki na kimoko....

Sijilaumu kuchelewa kujuana na wewe ila namshukuru Maulana kwa kunipa haja ya moyo wangu.
Ni wasaaa muafaka tule pensheni zetu kwa afya, raha na maisha yetu na kuwaachia wajukuu zetu urithi maridhawa.

Najua hizi sio pigo zako, ila sikiliza sauti na maneno tuu babu yangu.



Babu, zingatia hapo, “what I feel.....”

Nakupenda Babu yangu mpenzi.

Acha nikakuandalie stafutahi [emoji177].

Wako mpendwa, Kasie.

NB: 1. wako wataosema kimoyomoyo kuwa na huyu ntaachana tuu.
2. Wengine bibi kilomita zinasoma ngapi
3. Huyu ndo yule wa siku zote / huyu ni mpya / huyu ni yupi.

[emoji4] huyu anaitwa Babu wa Kasie wanaestaafu pamoja kijijini Butiama.

Alhamisi njema. [emoji6]
His love is drug.... En u never want to recover from it[emoji4]
 
Hivi mapenzi hayanaga low season tukapumua kidogo Kasie?

Au niache wivu [emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787]?

All the best dada.
Ni vile tu hutaki amani[emoji2957][emoji2957][emoji1787][emoji1787]
 
Eeeeh long time Erick...!! Mambo!! Hadi nimeshangaa ujio wako hapa. 😊

Nani amekuficha hivyo, na huyo aliyekuibua toka mafichoni ashukuriwe.

Karibu tena jukwaani.

Asante kwa salamu tunazipokea wote kwa pamoja mimi na Babu.
Hahahaaaa

Niko nawaangalia. Nikawaza huyo babu ni Bishanga au

Mambo poa kabisa...tumepotezana sana ila nipo
 
Back
Top Bottom