Kwako Gerson Msigwa wa Ikulu, heshimu mamlaka

Kwako Gerson Msigwa wa Ikulu, heshimu mamlaka

Wassalam Wakuu,

Ndugu yetu Gerson Msigwa na timu yake nzima ya kurugenzi ya Habari ya IKULU naona wanashindwa kutoa heshima inayostahili kwa Mama wa Shoka Mh. Rais wa JMT, Mh. SAMIA HASSAN SULUHU. Sasa sijui anafanya makusudi au bado ana majonzi ya kuondoka kwa aliyekuwa Rais wa 5.

Nimeona mara kadhaa tangu kuapishwa kwake wiki iliyopita mpaka jana baada ya Shughuli za Mazishi anafanya makossa yale yale kwa kushindwa kumpa sifa stahiki Rais wa SITA wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mara nyingi amekuwa akiandika “Rais, Mheshiwa SAMIA”. Hii sio sawa kabisa kwa mtazamo wangu kwa Kiongozi wa Nchi kuitwa kwa jina lake la kwanza tu. Kuna kitu kinapungua kwenye kutamka hivyo.

Kwa karibu miaka SITA sasa sijawahi kuona press/Taarifa ya Ikulu iliyomhusisha Rais, Dr. John Pombe Magufuli ikiandikwa “Rais, Mh. Dr. JOHN”. Nakumbuka wakati mwingine aliandika mpaka majina yake manne na hata yale ambayo hayapo kwenye Cheti au yanayotambulika kiserikali. Alikuwa anaandika Dr. John Joseph Pombe Magufuli, lakini Mtu huyu huyu ambaye ni Mkurugenzi wa Mawasailiano ya RAIS Ikulu, anashindwa kuandika Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa SAMIA HASSAN SULUHU. Si sawa.

WITO WANGU; Ni wakati sasa wa kumpumzisha ndg yetu huyu ambaye ameshindwa kuheshimu mamlaka ya Nchi kwa Kushindwa kuandika majina yake matatu na sasa ikimpendeza Rais wa JMT, Mh. Samia Suluhu Hassan kumteua Mtu mwingine na ikipendeza Zaidi, napendekeza awe mwanamke.

Sabato njema!
Hyo sio issue
 
Tuwape muda ili nao wabadilike

Hata kwny Cabinet ya kwanza ya Rais Samia walisahau kumpa Peni ya Kiprotokali anayotumia Rais Peni Nyekundu hadi Yeye mwenyewe akaomba

Kuondokewa na Rais ni jambo zito sana tuwavumilie kina Msigwa
Muanzisha uzi ni muongo. Kama hilo ni kosa basi Gerson amekuwa akilifanya hata kipindi cha Hayati Dr.Magufuri.
 
Wassalam Wakuu,

Ndugu yetu Gerson Msigwa na timu yake nzima ya kurugenzi ya Habari ya IKULU naona wanashindwa kutoa heshima inayostahili kwa Mama wa Shoka Mh. Rais wa JMT, Mh. SAMIA HASSAN SULUHU. Sasa sijui anafanya makusudi au bado ana majonzi ya kuondoka kwa aliyekuwa Rais wa 5.

Nimeona mara kadhaa tangu kuapishwa kwake wiki iliyopita mpaka jana baada ya Shughuli za Mazishi anafanya makossa yale yale kwa kushindwa kumpa sifa stahiki Rais wa SITA wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mara nyingi amekuwa akiandika “Rais, Mheshiwa SAMIA”. Hii sio sawa kabisa kwa mtazamo wangu kwa Kiongozi wa Nchi kuitwa kwa jina lake la kwanza tu. Kuna kitu kinapungua kwenye kutamka hivyo.

Kwa karibu miaka SITA sasa sijawahi kuona press/Taarifa ya Ikulu iliyomhusisha Rais, Dr. John Pombe Magufuli ikiandikwa “Rais, Mh. Dr. JOHN”. Nakumbuka wakati mwingine aliandika mpaka majina yake manne na hata yale ambayo hayapo kwenye Cheti au yanayotambulika kiserikali. Alikuwa anaandika Dr. John Joseph Pombe Magufuli, lakini Mtu huyu huyu ambaye ni Mkurugenzi wa Mawasailiano ya RAIS Ikulu, anashindwa kuandika Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa SAMIA HASSAN SULUHU. Si sawa.

WITO WANGU; Ni wakati sasa wa kumpumzisha ndg yetu huyu ambaye ameshindwa kuheshimu mamlaka ya Nchi kwa Kushindwa kuandika majina yake matatu na sasa ikimpendeza Rais wa JMT, Mh. Samia Suluhu Hassan kumteua Mtu mwingine na ikipendeza Zaidi, napendekeza awe mwanamke.

Sabato njema!
Haya,... muda wa kujipendekeza kwa jpm umekwisha... akina Msigwa wakae vizuri bila shaka mama Samia analo la kuwaambia, mama yule hapendi kujipendekeza na sina shaka kwamba mwisho wa akina Mwigulu, Msigwa, Makonda na watu kama hao umefika.
 
Yaani nchi hii kuna wivu, unafiki,roho mbaya na kutakiana mabaya kweli......badala ya kuongeza juhudi kwenye kazi zako unahangaika hangaika tu kupiga majungu
 
Jina la Rais ni brand. Na brand huwa na sifa zake.

Tumepata Rais wa kwanza mwanamke. Naamini na nafurahi watumie jina "Samia" badala ya Suluhu au Hassan (yote ya kiume!).

Kutumia jina Samia kutaleta msisitizo zaidi kuwa sasa ni zama tofauti (za mwanamke).
 
Wassalam Wakuu,

Ndugu yetu Gerson Msigwa na timu yake nzima ya kurugenzi ya Habari ya IKULU naona wanashindwa kutoa heshima inayostahili kwa Mama wa Shoka Mh. Rais wa JMT, Mh. SAMIA HASSAN SULUHU. Sasa sijui anafanya makusudi au bado ana majonzi ya kuondoka kwa aliyekuwa Rais wa 5.

Nimeona mara kadhaa tangu kuapishwa kwake wiki iliyopita mpaka jana baada ya Shughuli za Mazishi anafanya makossa yale yale kwa kushindwa kumpa sifa stahiki Rais wa SITA wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mara nyingi amekuwa akiandika “Rais, Mheshiwa SAMIA”. Hii sio sawa kabisa kwa mtazamo wangu kwa Kiongozi wa Nchi kuitwa kwa jina lake la kwanza tu. Kuna kitu kinapungua kwenye kutamka hivyo.

Kwa karibu miaka SITA sasa sijawahi kuona press/Taarifa ya Ikulu iliyomhusisha Rais, Dr. John Pombe Magufuli ikiandikwa “Rais, Mh. Dr. JOHN”. Nakumbuka wakati mwingine aliandika mpaka majina yake manne na hata yale ambayo hayapo kwenye Cheti au yanayotambulika kiserikali. Alikuwa anaandika Dr. John Joseph Pombe Magufuli, lakini Mtu huyu huyu ambaye ni Mkurugenzi wa Mawasailiano ya RAIS Ikulu, anashindwa kuandika Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa SAMIA HASSAN SULUHU. Si sawa.

WITO WANGU; Ni wakati sasa wa kumpumzisha ndg yetu huyu ambaye ameshindwa kuheshimu mamlaka ya Nchi kwa Kushindwa kuandika majina yake matatu na sasa ikimpendeza Rais wa JMT, Mh. Samia Suluhu Hassan kumteua Mtu mwingine na ikipendeza Zaidi, napendekeza awe mwanamke.

Sabato njema!
Wanasubiri kufukuzwa tu.
Hawatoshi. Waliyataka wenyewe
 
Wassalam Wakuu,

Ndugu yetu Gerson Msigwa na timu yake nzima ya kurugenzi ya Habari ya IKULU naona wanashindwa kutoa heshima inayostahili kwa Mama wa Shoka Mh. Rais wa JMT, Mh. SAMIA HASSAN SULUHU. Sasa sijui anafanya makusudi au bado ana majonzi ya kuondoka kwa aliyekuwa Rais wa 5.

Nimeona mara kadhaa tangu kuapishwa kwake wiki iliyopita mpaka jana baada ya Shughuli za Mazishi anafanya makossa yale yale kwa kushindwa kumpa sifa stahiki Rais wa SITA wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mara nyingi amekuwa akiandika “Rais, Mheshiwa SAMIA”. Hii sio sawa kabisa kwa mtazamo wangu kwa Kiongozi wa Nchi kuitwa kwa jina lake la kwanza tu. Kuna kitu kinapungua kwenye kutamka hivyo.

Kwa karibu miaka SITA sasa sijawahi kuona press/Taarifa ya Ikulu iliyomhusisha Rais, Dr. John Pombe Magufuli ikiandikwa “Rais, Mh. Dr. JOHN”. Nakumbuka wakati mwingine aliandika mpaka majina yake manne na hata yale ambayo hayapo kwenye Cheti au yanayotambulika kiserikali. Alikuwa anaandika Dr. John Joseph Pombe Magufuli, lakini Mtu huyu huyu ambaye ni Mkurugenzi wa Mawasailiano ya RAIS Ikulu, anashindwa kuandika Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa SAMIA HASSAN SULUHU. Si sawa.

WITO WANGU; Ni wakati sasa wa kumpumzisha ndg yetu huyu ambaye ameshindwa kuheshimu mamlaka ya Nchi kwa Kushindwa kuandika majina yake matatu na sasa ikimpendeza Rais wa JMT, Mh. Samia Suluhu Hassan kumteua Mtu mwingine na ikipendeza Zaidi, napendekeza awe mwanamke.

Sabato njema!
Huu uchawi kaka acho roho mbaya kama unaona makosa yapo ungeshauri tu
 
Mkuu Livejr leo ulisali wapi? 😁

Msigwa anajua soon atarudi songea kwenda kuiripotia tbc so hata akiharibu anajua nothing more, ndiyo mwana hauoni yale manjonjo ya convoy and media crew ya nyuma inaanza kupungua.

Ukianzia na jana hapa msibani, Bi_Mkubwa hakuwa na manjonjo as up on time, so tumvumilie, ukiona hivyo yawezekana 'nasema yawezekana' atakuwa amejua na ndiyo anahesabu siku zake.
 
Nukuu muhimu ya Palamagamba Kabudi inayoshabiana na maono Liverjr

Prof. Kabudi atoa wosia "Tusiwazoee mabosi wala tusijiandae kwa cheo chochote",

Aseee, hapo dakika 3:20 ndipo kuna ujumbe mujarabu asee, kabudi aliongea utadhani anajua mioyo wa wana ccm wa jamii ya kigogo.
 
Wassalam Wakuu,

Ndugu yetu Gerson Msigwa na timu yake nzima ya kurugenzi ya Habari ya IKULU naona wanashindwa kutoa heshima inayostahili kwa Mama wa Shoka Mh. Rais wa JMT, Mh. SAMIA HASSAN SULUHU. Sasa sijui anafanya makusudi au bado ana majonzi ya kuondoka kwa aliyekuwa Rais wa 5.

Nimeona mara kadhaa tangu kuapishwa kwake wiki iliyopita mpaka jana baada ya Shughuli za Mazishi anafanya makossa yale yale kwa kushindwa kumpa sifa stahiki Rais wa SITA wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mara nyingi amekuwa akiandika “Rais, Mheshiwa SAMIA”. Hii sio sawa kabisa kwa mtazamo wangu kwa Kiongozi wa Nchi kuitwa kwa jina lake la kwanza tu. Kuna kitu kinapungua kwenye kutamka hivyo.

Kwa karibu miaka SITA sasa sijawahi kuona press/Taarifa ya Ikulu iliyomhusisha Rais, Dr. John Pombe Magufuli ikiandikwa “Rais, Mh. Dr. JOHN”. Nakumbuka wakati mwingine aliandika mpaka majina yake manne na hata yale ambayo hayapo kwenye Cheti au yanayotambulika kiserikali. Alikuwa anaandika Dr. John Joseph Pombe Magufuli, lakini Mtu huyu huyu ambaye ni Mkurugenzi wa Mawasailiano ya RAIS Ikulu, anashindwa kuandika Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa SAMIA HASSAN SULUHU. Si sawa.

WITO WANGU; Ni wakati sasa wa kumpumzisha ndg yetu huyu ambaye ameshindwa kuheshimu mamlaka ya Nchi kwa Kushindwa kuandika majina yake matatu na sasa ikimpendeza Rais wa JMT, Mh. Samia Suluhu Hassan kumteua Mtu mwingine na ikipendeza Zaidi, napendekeza awe mwanamke.

Sabato njema!

mchawi wewe!!!!


hakuwepo mtu anaitwa John Joseph Pombe Magufuli

ila

John Pombe Joseph Magufuli
 
Wassalam Wakuu,

Ndugu yetu Gerson Msigwa na timu yake nzima ya kurugenzi ya Habari ya IKULU naona wanashindwa kutoa heshima inayostahili kwa Mama wa Shoka Mh. Rais wa JMT, Mh. SAMIA HASSAN SULUHU. Sasa sijui anafanya makusudi au bado ana majonzi ya kuondoka kwa aliyekuwa Rais wa 5.

Nimeona mara kadhaa tangu kuapishwa kwake wiki iliyopita mpaka jana baada ya Shughuli za Mazishi anafanya makossa yale yale kwa kushindwa kumpa sifa stahiki Rais wa SITA wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mara nyingi amekuwa akiandika “Rais, Mheshiwa SAMIA”. Hii sio sawa kabisa kwa mtazamo wangu kwa Kiongozi wa Nchi kuitwa kwa jina lake la kwanza tu. Kuna kitu kinapungua kwenye kutamka hivyo.

Kwa karibu miaka SITA sasa sijawahi kuona press/Taarifa ya Ikulu iliyomhusisha Rais, Dr. John Pombe Magufuli ikiandikwa “Rais, Mh. Dr. JOHN”. Nakumbuka wakati mwingine aliandika mpaka majina yake manne na hata yale ambayo hayapo kwenye Cheti au yanayotambulika kiserikali. Alikuwa anaandika Dr. John Joseph Pombe Magufuli, lakini Mtu huyu huyu ambaye ni Mkurugenzi wa Mawasailiano ya RAIS Ikulu, anashindwa kuandika Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa SAMIA HASSAN SULUHU. Si sawa.

WITO WANGU; Ni wakati sasa wa kumpumzisha ndg yetu huyu ambaye ameshindwa kuheshimu mamlaka ya Nchi kwa Kushindwa kuandika majina yake matatu na sasa ikimpendeza Rais wa JMT, Mh. Samia Suluhu Hassan kumteua Mtu mwingine na ikipendeza Zaidi, napendekeza awe mwanamke.

Sabato njema!
Dua ya kuku hiyo😭! Mñajaribu kuingiza mafarakano kwa Mh SSH, the Iron Lady! Hamtafanikiwa! May God Almighty guide, protect, & bless continuously our madam president hon. Samia S. Hassan, and the government of the republic of Tanzania at large! May God Almighty continue to bless our country Tanzania 🙏, amen!
RIP our hero JPM😭!
 
Back
Top Bottom