Kwako Gerson Msigwa wa Ikulu, heshimu mamlaka

Kwako Gerson Msigwa wa Ikulu, heshimu mamlaka

Msigwa atumbuliwe na taarifa kwa umma ya kutumbuliwa kwake aitoe yeye mwenyewe.
 
Tuwape muda ili nao wabadilike

Hata kwny Cabinet ya kwanza ya Rais Samia walisahau kumpa Peni ya Kiprotokali anayotumia Rais Peni Nyekundu hadi Yeye mwenyewe akaomba

Kuondokewa na Rais ni jambo zito sana tuwavumilie kina Msigwa
Kifo hakizoeleki, kina humiza na kinaweza kukuchanga hata akili ikashindwa kufanya kazi kwa utaratibu mzuri.
 
mchawi wewe!!!!


hakuwepo mtu anaitwa John Joseph Pombe Magufuli

ila

John Pombe Joseph Magufuli
Vyovyote uandikavyo, lakini umeshawahi kuona taarifa ya Ikulu ikisema Mh. Rais Dr. John?

Wewe unaweza kuwa mchawi zaidi kwa sababu unapingana na Ukweli.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Msigwa si uzao wa pande ya Mkwawa hawa. Jamaa ni wajasiri sana. Ungesema tu wakati umefika wa ni wa dini yetu.
 
Ni wazi jamaa haitaki hiyo kazi tena na kwa bahati mbaya hatuna utaratibu wa kukaa pembeni kwa hiyari.
 
Wassalam Wakuu,

Ndugu yetu Gerson Msigwa na timu yake nzima ya kurugenzi ya Habari ya IKULU naona wanashindwa kutoa heshima inayostahili kwa Mama wa Shoka Mh. Rais wa JMT, Mh. SAMIA HASSAN SULUHU. Sasa sijui anafanya makusudi au bado ana majonzi ya kuondoka kwa aliyekuwa Rais wa 5.

Nimeona mara kadhaa tangu kuapishwa kwake wiki iliyopita mpaka jana baada ya Shughuli za Mazishi anafanya makossa yale yale kwa kushindwa kumpa sifa stahiki Rais wa SITA wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mara nyingi amekuwa akiandika “Rais, Mheshiwa SAMIA”. Hii sio sawa kabisa kwa mtazamo wangu kwa Kiongozi wa Nchi kuitwa kwa jina lake la kwanza tu. Kuna kitu kinapungua kwenye kutamka hivyo.

Kwa karibu miaka SITA sasa sijawahi kuona press/Taarifa ya Ikulu iliyomhusisha Rais, Dr. John Pombe Magufuli ikiandikwa “Rais, Mh. Dr. JOHN”. Nakumbuka wakati mwingine aliandika mpaka majina yake manne na hata yale ambayo hayapo kwenye Cheti au yanayotambulika kiserikali. Alikuwa anaandika Dr. John Joseph Pombe Magufuli, lakini Mtu huyu huyu ambaye ni Mkurugenzi wa Mawasailiano ya RAIS Ikulu, anashindwa kuandika Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa SAMIA HASSAN SULUHU. Si sawa.

WITO WANGU; Ni wakati sasa wa kumpumzisha ndg yetu huyu ambaye ameshindwa kuheshimu mamlaka ya Nchi kwa Kushindwa kuandika majina yake matatu na sasa ikimpendeza Rais wa JMT, Mh. Samia Suluhu Hassan kumteua Mtu mwingine na ikipendeza Zaidi, napendekeza awe mwanamke.

Sabato njema!
Tuwape muda kidogo, kama ni mshtuko na majonzi basi mungu awape nguvu warudi katika hali zao za kawaida.
Kama ni kiburi na kuto kumkubali mh mama S. S. Hassan kama Rais wa nchi basi wajiandae kutafuta kazi nyingine.
Maana rais S.S Hassan alishaweka wazi kwamba yeye ndie rais, na kwa mara ya kwanza kwa mujibu wa kumbukumbu zangu jana kwenye maziko ya DR. J. P. Magufuli (aliye kuwa rais wa JMT) alihutubia mkuu wa majeshi (CDF) na kuweka wazi kwamba wao kama jeshi wako pamoja na rais na watatii mamlaka yake.
Kauli hizi zote zina maana kubwa, hivyo hao kila Msigwa watazielewa muda si mrefu.
 
Wassalam Wakuu,

Ndugu yetu Gerson Msigwa na timu yake nzima ya kurugenzi ya Habari ya IKULU naona wanashindwa kutoa heshima inayostahili kwa Mama wa Shoka Mh. Rais wa JMT, Mh. SAMIA HASSAN SULUHU. Sasa sijui anafanya makusudi au bado ana majonzi ya kuondoka kwa aliyekuwa Rais wa 5.

Nimeona mara kadhaa tangu kuapishwa kwake wiki iliyopita mpaka jana baada ya Shughuli za Mazishi anafanya makossa yale yale kwa kushindwa kumpa sifa stahiki Rais wa SITA wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mara nyingi amekuwa akiandika “Rais, Mheshiwa SAMIA”. Hii sio sawa kabisa kwa mtazamo wangu kwa Kiongozi wa Nchi kuitwa kwa jina lake la kwanza tu. Kuna kitu kinapungua kwenye kutamka hivyo.

Kwa karibu miaka SITA sasa sijawahi kuona press/Taarifa ya Ikulu iliyomhusisha Rais, Dr. John Pombe Magufuli ikiandikwa “Rais, Mh. Dr. JOHN”. Nakumbuka wakati mwingine aliandika mpaka majina yake manne na hata yale ambayo hayapo kwenye Cheti au yanayotambulika kiserikali. Alikuwa anaandika Dr. John Joseph Pombe Magufuli, lakini Mtu huyu huyu ambaye ni Mkurugenzi wa Mawasailiano ya RAIS Ikulu, anashindwa kuandika Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa SAMIA HASSAN SULUHU. Si sawa.

WITO WANGU; Ni wakati sasa wa kumpumzisha ndg yetu huyu ambaye ameshindwa kuheshimu mamlaka ya Nchi kwa Kushindwa kuandika majina yake matatu na sasa ikimpendeza Rais wa JMT, Mh. Samia Suluhu Hassan kumteua Mtu mwingine na ikipendeza Zaidi, napendekeza awe mwanamke.

Sabato njema!
Wewe jamaa unaonekana una roho mbaya na wivu wa maendeleo
 
Wabongo kuviziana hatujambo! Yeye tu hapo kaandika "MHESHIWA". Mhhhh! Kazi ipo
 
Huyo mama anastahili pongezi kubwa, na kupewa heshma kubwa sana. Nakupenda mama yetu. Hope katika uongozi wako hutawabana wafanyabiashara, muhimu haki na uaminifu uwepo kwa wafanyabiashara.
and when is going to the hapen? traders is supposed to pay tax infull not write small amount to big buy. yaaan risit iandikwe bei halal ya mzigo kusudi kodi halal iende kwwnye mapato ya serikal

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wassalam Wakuu,

Ndugu yetu Gerson Msigwa na timu yake nzima ya kurugenzi ya Habari ya IKULU naona wanashindwa kutoa heshima inayostahili kwa Mama wa Shoka Mh. Rais wa JMT, Mh. SAMIA HASSAN SULUHU. Sasa sijui anafanya makusudi au bado ana majonzi ya kuondoka kwa aliyekuwa Rais wa 5.

Nimeona mara kadhaa tangu kuapishwa kwake wiki iliyopita mpaka jana baada ya Shughuli za Mazishi anafanya makossa yale yale kwa kushindwa kumpa sifa stahiki Rais wa SITA wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mara nyingi amekuwa akiandika “Rais, Mheshiwa SAMIA”. Hii sio sawa kabisa kwa mtazamo wangu kwa Kiongozi wa Nchi kuitwa kwa jina lake la kwanza tu. Kuna kitu kinapungua kwenye kutamka hivyo.

Kwa karibu miaka SITA sasa sijawahi kuona press/Taarifa ya Ikulu iliyomhusisha Rais, Dr. John Pombe Magufuli ikiandikwa “Rais, Mh. Dr. JOHN”. Nakumbuka wakati mwingine aliandika mpaka majina yake manne na hata yale ambayo hayapo kwenye Cheti au yanayotambulika kiserikali. Alikuwa anaandika Dr. John Joseph Pombe Magufuli, lakini Mtu huyu huyu ambaye ni Mkurugenzi wa Mawasailiano ya RAIS Ikulu, anashindwa kuandika Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa SAMIA HASSAN SULUHU. Si sawa.

WITO WANGU; Ni wakati sasa wa kumpumzisha ndg yetu huyu ambaye ameshindwa kuheshimu mamlaka ya Nchi kwa Kushindwa kuandika majina yake matatu na sasa ikimpendeza Rais wa JMT, Mh. Samia Suluhu Hassan kumteua Mtu mwingine na ikipendeza Zaidi, napendekeza awe mwanamke.

Sabato njema!

We jamaa una tatizo kubwa sana. Kwanini usimwendee DM kama kweli unajua maana ya neno sabato njema
 
Wafuasi wote , viherehere wote , makapi na vibaraka wote wa Jiwe hawana amani kabisa na hawaamini kama mungu wao kafa , watolewe wote hawafai Wana elements za kiibilisi Kama marehemu Jiwe .
 
WITO WANGU; Ni wakati sasa wa kumpumzisha ndg yetu huyu ambaye ameshindwa kuheshimu mamlaka ya Nchi kwa Kushindwa kuandika majina yake matatu na sasa ikimpendeza Rais wa JMT, Mh. Samia Suluhu Hassan kumteua Mtu mwingine na ikipendeza Zaidi, napendekeza awe mwanamke.
We ni XX au XY?
 
Ujue kwenye hili kujwaa tunatamani kuandika kitu, but mwisho wa siku tunaamua kwenda jukwaa la kule chini kubeti.
 
Vyovyote uandikavyo, lakini umeshawahi kuona taarifa ya Ikulu ikisema Mh. Rais Dr. John?

Wewe unaweza kuwa mchawi zaidi kwa sababu unapingana na Ukweli.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app

unahisi nini?


kuwa msigwa hamuheshimu Samia?


Msigwa of all people atatamani ajipendekeze na kumpamba mama sio?


So anakosea ili iweje? au unafikiri Rais ni mkusanya sadaka? cheo kinatisha kile ndugu.Lazima Msigwa anamuheshimu na kama kuna kosa lolote si la makusudi na si la kudhabi kuwa kakosea eti hana heshima!!!


I guess umeona zaidi mchawi nani?
 
Back
Top Bottom